Uchaguzi 2020 Tatizo la sera za Rais Magufuli ni kutogusia maendeleo ya watu kwenye kampeni zake

Uchaguzi 2020 Tatizo la sera za Rais Magufuli ni kutogusia maendeleo ya watu kwenye kampeni zake

Mapensho star

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,052
Reaction score
4,104
Kwa miaka mitano tangia uingie madarakani wapo wananchi wengi waliokuunga mkono wakakubali kufunga mikanda wakasahau yale yote uliyowaahidi ili mambo ya msingi yafanyike wakitegemea mambo yatakuwa mazuri mbeleni

Ni kweli umefanya mengi Mheshimiwa kama watangulizi wako ambayo walishayafanya anajenga reli ya kisasa,unajenga bwawa,umeboresha miundombinu mingine kama flyover na barabara

Sasa umefika muda wa kampeni wananchi wamejitokeza wengi walikuwa wanategemea kusikia maendeleo yanayowagusa watu
Ni kweli miundombinu ni muhimu lakini maendeleo ya watu ni muhimu pia kwa hili Mheshimiwa kuna kila dalili watu itabidi waendelee kukaza mikanda kwa kipindi kingine cha miaka mitano ili miradi ikamilike
 
Ethiopia kwa sasa miundombinu yake ni usipime pale Addis Ababa, ni full ma flyover+treni ya umeme na wanajenga bwawa kubwa la umeme nadhani Africa nzima hakuna lakini waethiopia kila siku wanakamatwa kwenye ma lorry huku bongo.
 
Ila tuache masihara, Maendeleo ya vitu bila maendeleo ya watu si sawa.nani atapanda ndege wakati kipato chake ni duni, Nani atatumia flyover wakati wakati hata uwezo wa mlo mmoja Hana.

Lakn km Hali ya maisha ya watu Ni nzuri tafsiri yake baada ya hilo ndio mahitaji ya ndege, flyover na mabarabara yatakuwa makubwa kwasababu watu watakuwa na uwezo wa kusafiri.
Nilikuwa nachomekea tu
Maendeleo hayana vyama
 
Ila tuache masihara, Maendeleo ya vitu bila maendeleo ya watu si sawa.nani atapanda ndege wakati kipato chake ni duni, Nani atatumia flyover wakati wakati hata uwezo wa mlo mmoja Hana.

Lakn km Hali ya maisha ya watu Ni nzuri tafsiri yake baada ya hilo ndio mahitaji ya ndege, flyover na mabarabara yatakuwa makubwa kwasababu watu watakuwa na uwezo wa kusafiri.
Nilikuwa nachomekea tu
Maendeleo hayana vyama
Kweli tupu
 
Huo umati wa watu hapo uwanjani Shinyanga, aah, aah aah acha kabisa. Utanzania siafu katika kichuguu chao wakiwa wamevamiwa na neema ya kumbikumbi.

Mabeberu na kibaraka wao mkuu Lissu sura zimewashuka kwa aibu na sijui wataenda kuzificha wapi nyuso zao oktoba baada ya uchaguzi. NTv ya Kenya mko wapi? Mkuje huku muabike.
 
Miaka mitano ni kidogo sana kwenye nchi ambayo haikuwa na hazina imara kifedha, ila ni mingi kama utakuta pesa ya kutosha.
 
serikali hugusa maisha ya watu kupitia vitu ambavyo humfanya mwanchi kuwa na wepesi wa kutimiza majukum yake, sasa kama unataka serikali ije kukuletea msosi kwako endelea kuota mambo kama haya hata amerika hayapo.
 
Huo umati wa watu hapo uwanjani aah, aah aah acha kabisa. Utanzania sufa jatika kichuguu chao wakiwa wamevamiwa ba neema ya kumbikumbi.

Mabeberu na kibaraka wao mkuu Lissu sura zimewashuka kwa aibu na sijui wataenda kuzificha wapi nyuso zao oktoba baada ya uchaguzi. NTv ya Kenya mko wapi? Mkuje huku muabike.
Jana kwenye mkutano wa Chadema kulikuwa na drone au picha za juu, wakipatikana watu zinarushwa picha za juu,
Lakini pakiwa hakuna watu, kisingizio ni wana habari na TCRA.
Kwa sasa lisu amejificha kichakani anaangalia mafuliko ya chama Dume.

Najua hakosi kwenda kukojoa nyuma ya kichaka mara kwa mara huku akisonya😂😂😂😂
 
Ukimkosoa Jiwe unakwenda na maji....anakuondoa kutoka katika uso wa dunia na .jeneza lako litaanikwa juani (Karume stadium)kwa week nzima mfululizo au utakula shaba kama Lissu....hana sera ni upuuzi mtupu.Yeye anachokijua ni "VYUMA"tu
 
Ethiopia kwa sasa miundombinu yake ni usipime pale Addis Ababa, ni full ma flyover+treni ya umeme na wanajenga bwawa kubwa la umeme nadhani Africa nzima hakuna lakini waethiopia kila siku wanakamatwa kwenye ma lorry huku bongo.
Hili nalo neno++++++
 
Jana kwenye mkutano wa Chadema kulikuwa na drone au picha za juu, wakipatikana watu zinarushwa picha za juu,
Lakini pakiwa hakuna watu, kisingizio ni wana habari na TCRA.
Kwa sasa lisu amejificha kichakani anaangalia mafuliko ya chama Duke.

Najua hakosi kwenda kukojoa nyuma ya kichaka mara kwa mara huku akisonya😂😂😂😂
Lissu is a curse to this Nation.
 
Alivyo na roho mbaya watu kwake ni yeye binafsi.

Akishinda aanze kuwatukana wananchi utadhani nchi ni familia yake.
 
Kwa hii miaka mitano iliyopita ndio umaskini umeongezeka zaidi ktk nchi hii kwa sababu serikali haina mikakati yenye kuwagusa wananchi moja kwa moja ni ngonjera tu za mabarabara na ndege ambazo wananchi walio wengi hawatakaa wapande.
Very foolish mindset.
 
Alivyo na roho mbaya watu kwake ni yeye binafsi.

Akishinda aanze kuwatukana wananchi utadhani nchi ni familia yake.
Kuzidi ya lisu?
Watu wa chadema kila kukicha mnateseka na mwazo hata mkiwa kwenye majukwaa mnatoa povu la moshi wa kumi mpaka mapafu yenu yatajaa ukungu.

Mpaka uchaguzi uishe mtakuwa wateja wa mahospitali yaliyo jengwa na jembe.
 
Huo umati wa watu hapo uwanjani Shinyanfa, aah, aah aah acha kabisa. Utanzania siafu katika kichuguu chao wakiwa wamevamiwa na neema ya kumbikumbi.

Mabeberu na kibaraka wao mkuu Lissu sura zimewashuka kwa aibu na sijui wataenda kuzificha wapi nyuso zao oktoba baada ya uchaguzi. NTv ya Kenya mko wapi? Mkuje huku muabike.
Hao wote wamekuja kutizama shoo ya bure tu na sio kumskiliza uyo mgombea

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kuzidi ya lisu?
Watu wa chadema kila kukicha mnateseka na mwazo hata mkiwa kwenye majukwaa mnatoa povu la moshi wa kumi mpaka mapafu yenu yatajaa ukungu.

Mpaka uchaguzi uishe mtakuwa wateja wa mahospitali yaliyo jengwa na membe.
Hahaha na wewe ni wa jalalani pia?!
Mmechanjwa chanjo ya ujinga.
 
Back
Top Bottom