Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mimi nimepungua wewe umezidi. Nini shida. Mchezo huu hauhitaji hasira wala kisasi. Kisasi ni
kwa ajili ya Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maendeleo ya vitu bila ya maendeleo ya watu hayo sio maendeleo ya kweli. Nilijiandaa sana kusikia sera za maendeleo ya watu mfano namna ya kuwapa bima wananchi zaidi ya milioni 50, issue za food security na kadhalika. Ila ninachokisikia ni midege na ma-SGR tu. Ndiyo maana kampeni za sasa hazina mvutoSasa umefika muda wa kampeni wananchi wamejitokeza wengi walikuwa wanategemea kusikia maendeleo yanayowagusa watu
Ni kweli miundombinu ni muhimu lakini maendeleo ya watu ni muhimu pia kwa hili Mheshimiwa kuna kila dalili watu itabidi waendelee kukaza mikanda kwa kipindi kingine cha miaka mitano ili miradi ikamilike
Maendeleo ya watu yanakuwaje? Fafanua kwa undaniKwa miaka mitano tangia uingie madarakani wapo wananchi wengi waliokuunga mkono wakakubali kufunga mikanda wakasahau yale yote uliyowaahidi ili mambo ya msingi yafanyike wakitegemea mambo yatakuwa mazuri mbeleni
Ni kweli umefanya mengi Mheshimiwa kama watangulizi wako ambayo walishayafanya anajenga reli ya kisasa,unajenga bwawa,umeboresha miundombinu mingine kama flyover na barabara
Sasa umefika muda wa kampeni wananchi wamejitokeza wengi walikuwa wanategemea kusikia maendeleo yanayowagusa watu
Ni kweli miundombinu ni muhimu lakini maendeleo ya watu ni muhimu pia kwa hili Mheshimiwa kuna kila dalili watu itabidi waendelee kukaza mikanda kwa kipindi kingine cha miaka mitano ili miradi ikamilike
Uwanjani tulienda kuangalia tamasha la mziki wala hatujaenda kumsikiliza yeye!!Huo umati wa watu hapo uwanjani Shinyanga, aah, aah aah acha kabisa. Utanzania siafu katika kichuguu chao wakiwa wamevamiwa na neema ya kumbikumbi.
Mabeberu na kibaraka wao mkuu Lissu sura zimewashuka kwa aibu na sijui wataenda kuzificha wapi nyuso zao oktoba baada ya uchaguzi. NTv ya Kenya mko wapi? Mkuje huku muabike.
Kwa miaka mitano tangia uingie madarakani wapo wananchi wengi waliokuunga mkono wakakubali kufunga mikanda wakasahau yale yote uliyowaahidi ili mambo ya msingi yafanyike wakitegemea mambo yatakuwa mazuri mbeleni
Ni kweli umefanya mengi Mheshimiwa kama watangulizi wako ambayo walishayafanya anajenga reli ya kisasa,unajenga bwawa,umeboresha miundombinu mingine kama flyover na barabara
Sasa umefika muda wa kampeni wananchi wamejitokeza wengi walikuwa wanategemea kusikia maendeleo yanayowagusa watu
Ni kweli miundombinu ni muhimu lakini maendeleo ya watu ni muhimu pia kwa hili Mheshimiwa kuna kila dalili watu itabidi waendelee kukaza mikanda kwa kipindi kingine cha miaka mitano ili miradi ikamilike
Umeandika nn sio lazima ujibu kila kitu unapoteza haina yako humu au ndio mnafundishwa huko ccm maana nasikia hata baba yenu anasema anataka kazi ya kufagia kwa vyumba vya malaika. Jifunzeni kutoa hoja za kufikirikaKuzidi ya lisu?
Watu wa chadema kila kukicha mnateseka na mwazo hata mkiwa kwenye majukwaa mnatoa povu la moshi wa kumi mpaka mapafu yenu yatajaa ukungu.
Mpaka uchaguzi uishe mtakuwa wateja wa mahospitali yaliyo jengwa na jembe.
Punguzeni hasira kwenye mikutano hao ni watu sio ng'ombe.Umeandika nn sio lazima ujibu kila kitu unapoteza haina yako humu au ndio mnafundishwa huko ccm maana nasikia hata baba yenu anasema anataka kazi ya kufagia kwa vyumba vya malaika. Jifunzeni kutoa hoja za kufikirika