Masterminder
Member
- Jun 22, 2022
- 6
- 8
Ndugu zangu nimekuwa nikipigwa na shoti kwenye kitanda cha chuma wakati napanda au wakati ninaposhuka chini nikigusa chini kunakuwa na shoti.
Tatizo hili linasababishwa na nini na jinsi gani nitatue?
Msaada naomba wakuu.
Tatizo hili linasababishwa na nini na jinsi gani nitatue?
Msaada naomba wakuu.