mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Leakage ya umeme, hapana, umeme wa Tanesco ni umeme mkubwa, ukiigusa unakupiga shoti hapo hapo, hausubiri uguse conductor nyingine asubuhi ukiamka.Sio kwamba kuna electrical leakage kwenye circuit ya umeme kwenye nyumba?