Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
E. All the aboveNani alaumiwe kwa yanayoendelea msimbazi?Tafadhali piga kura yako hapa
A. UONGOZI
B. MWEKEZAJI
C. WACHEZAJI
D. BENCHI LA UFUNDI
Tafadhali piga kura yako hapa
Hata Ismail Aden Rage aliwaita mbumbumbu kwa sababu hizi hizi za kushindwa kabisa kuwaelewa mashabiki wa timu wanataka nini!Mkuu mashabiki hawafurahishwi na yanayoendelea,unapata wapi ujasiri wa kuwaita "mbumbumbu"?
Hata Ismail Aden Rage aliwaita mbumbumbu kwa sababu hizi hizi za kushindwa kabisa kuwaelewa mashabiki wa timu wanataka nini!
Hilo jibu lako, ni namba ngapi hapo juu?Tatizo la simba ni mashabiki mbumbumbu
Nilikuwa siamini kama nawe ni miongoni mwa wale waliopo nje ya wale wawili!Hata Ismail Aden Rage aliwaita mbumbumbu kwa sababu hizi hizi za kushindwa kabisa kuwaelewa mashabiki wa timu wanataka nini!
Mkuu, kuna chombo cha habari kimoja kimethibitisha kuwa cheti KIMETUMWA huko kwa "U- PREZIDENTI WA MUYAYA, Hasting Kamuzu Banda"Kwa hili la Mgunda na kukosekana kwa Cheti chake.....!.
Ndo utajua hakuna Professionalism kwa Viongozi wa Simba...!
Always hutumia ujanja ujanja tu.
Unawaonea bure tu,hao kazi yao ni kushangilia, kuzomea na kuongea tu....hawawezi kuwa tatizo hata siku moja.Tatizo la simba ni mashabiki mbumbumbu