Tatizo la Simba ni lipi haswa?

Tatizo la Simba ni lipi haswa?

Lakini pamoja na hayo yote....uchezaji wa Simba umebadilika sana,yaani wanacheza kivivu mno (yaani wako slow kuliko kawaida)
yaani mpira hauvutii.Backpass za kutosha
Reference ni game yetu against KMC, Simba hii game walicheza utafikiri wako MP😬😬
....badilikeni bhana,mnatuboa sisi mashabiki,chezeni mpira wa speed kali,vijana wapo wa kufanikisha hili
Nani alaumiwe Benchi la ufundi ,uongozi au wachezaji
 
Kwa hili la Mgunda na kukosekana kwa Cheti chake.....!.
Ndo utajua hakuna Professionalism kwa Viongozi wa Simba...!
Always hutumia ujanja ujanja tu.
.
JamiiForums-211660238.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nani alaumiwe Benchi la ufundi ,uongozi au wachezaji
Lawama zangu nazipeleka moja kwa moja kwa wachezaji,kwa sababu kama wanatimiziwa maslahi yao according to the contract they made wana kila sababu ya kucheza kwa kujituma sana
 
Nani kutoka taasisi ya Simba ametoa tamko kwamba Simba kuna tatizo.?!
 
Back
Top Bottom