Tatizo la Simba ni lipi haswa?

Nani alaumiwe Benchi la ufundi ,uongozi au wachezaji
 
Nani alaumiwe Benchi la ufundi ,uongozi au wachezaji
Lawama zangu nazipeleka moja kwa moja kwa wachezaji,kwa sababu kama wanatimiziwa maslahi yao according to the contract they made wana kila sababu ya kucheza kwa kujituma sana
 
Nani kutoka taasisi ya Simba ametoa tamko kwamba Simba kuna tatizo.?!
 
1.Babra CEO
2.Babra CEO
3.Tajiri bahili MO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…