Ishu kwa Mo Dewji kuitaka Simba, kwanza yeye ni simba damu, pia ni mfanyabiashara anayeona fursa za kupata faida, pili ni kuwa simba na yanga zina FANBASE kubwa sana! Viongozi wa hizi timu wangekuwa smart, kuna hela nyingi sana!
Azam itaendelea kuwa timu inayoendeshwa kisasa, ila kamwe upande wa fanbase hawataifunika simba au yanga! Hata miaka mingi ijayo, hizi timu mbili zitaendelea kuwa na fanbase kubwa! Timu zingine kama Azam zitaendelea kuwa na fans wa mkopo, Azam wakicheza na simba, watawapata fans wa yanga na yanga wakicheza na azam watapata fans wa simba, simple!