kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Sioni namna Pablo kocha mgeni Simba atakavyoweza kupata matokeo mazuri kwa wachezaji waliopo Simba. Kocha ni wa kawaida na wachezaji ni wa kawaida pia.
Pablo angekuwa kocha mzuri sana angeshanyakuliwaa na timu za Barcelona, Man U, au Tottenham zilizokuwa zinatafuta makocha wazuri. Ni kocha wa kawaida sawa na makocha wengine wa kibongo bongo ambae anahitaji kupata wachezaji wazuri ili apate matokeo mazuri.
Cedric kaze alikuwa Barcelona lakini Yanga alikuwa hapati matokeo kutokana na aina ya wachezaji aliowakuta Yanga wakati ule.
Wachezaji wa Simba hawana vipaji vikubwa sana kuwazidi wengine, wanatumia bahati zaidi, janjajanja, nguvu na mbinu za nje ya uwanja kupata matokeo kuliko ufundi. Wachezaji aina ya Chama, Mayele, Aucho, Bangala, Fei Toto na Dube hawana Sasa hivi.
Kagere, Wawa, Bocco, nyoni, Ajibu, kapombe, Mugalu, muzamiru, mkude, Kibu wote ni WA kuanikizaanikiza juani ili kupata matokeo. Ni wachezaji sawa na wachezaji wa timu nyingine kwenye ligi.
Waandishi na mashabiki wa Simba huu ndio wakati wenu wa kuweka akiba ya maneno kuhusu Pablo na Simba.
Pablo angekuwa kocha mzuri sana angeshanyakuliwaa na timu za Barcelona, Man U, au Tottenham zilizokuwa zinatafuta makocha wazuri. Ni kocha wa kawaida sawa na makocha wengine wa kibongo bongo ambae anahitaji kupata wachezaji wazuri ili apate matokeo mazuri.
Cedric kaze alikuwa Barcelona lakini Yanga alikuwa hapati matokeo kutokana na aina ya wachezaji aliowakuta Yanga wakati ule.
Wachezaji wa Simba hawana vipaji vikubwa sana kuwazidi wengine, wanatumia bahati zaidi, janjajanja, nguvu na mbinu za nje ya uwanja kupata matokeo kuliko ufundi. Wachezaji aina ya Chama, Mayele, Aucho, Bangala, Fei Toto na Dube hawana Sasa hivi.
Kagere, Wawa, Bocco, nyoni, Ajibu, kapombe, Mugalu, muzamiru, mkude, Kibu wote ni WA kuanikizaanikiza juani ili kupata matokeo. Ni wachezaji sawa na wachezaji wa timu nyingine kwenye ligi.
Waandishi na mashabiki wa Simba huu ndio wakati wenu wa kuweka akiba ya maneno kuhusu Pablo na Simba.