Kafiti
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 537
- 220
nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa gesi kwa takribani kila siku kwa wiki mbili hizi, nimejaribu kupiga utrasound hamna kitu..........nimekunywa dawa ya minyoo likaacha kama siku 3, na leo naona limerudia.....linauma maeneo ya kitovuni.....please help