chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
mkuu nina namba ya kudumuUnapiga chaputa? Tuanzie apo
nyege zipo mkuuKama nyege zimeshindwa kukuendesha kukupa mbinu tukupe mbinu ipi zaidi ya kukuambia uwe mtumishi wa bwana tu!.
yeah manUnaujua uzi wa kula tunda kimasihara??
kweli kiongoziTafuta pesa, ni jawabu la kila jambo, na ukiwa na pesa automatic unakuwa na confidence kupita kiasi.. hata kama uwe na 30 mill kwenye account na kwenye mpesa uwe na 7 mill .. hapo udomo zege utaishia sikia kwenye bombaa ππ na kwa wengine
Hazijakaa kwenye kona yake wewe!.. zikikaa zikakukamata kutongoza utaona ni shughuli nyepesi kuwahi kutokea hapa duniani..πnyege zipo mkuu
Theory yote kule unakwama wapi kupractice sasayeah man
Ninachoamini ni kwamba,hakuna mwanamke yeyote utamsimamisha kwa adabu na heshima barabarani akashindwa kusimama(yawezekana mazungumzo yakawa ni utupolo mtupu)
Cha kufanya jirecord(video)mwenyewe hapo nyumbani kwako namna ya kumtongoza mwanamke then uanze kuipitia hiyo video wewe mwenyewe na kuitolea kasoro.
Fanya mara nyingi uwezavyo kujijengea kujiamin.jitahidi kupangilia maneno yako mkuu saw...[emoji28][emoji28]
Hafu we nae......tafuta maneno konki ya kukusaidia kuomba namba ya simu ya mwanamke.....ukipata namba ya simu umeula [emoji28][emoji28]..ukifikia hapo na ukiona bado mdomo wako ni mzito kama zege la alfajiri[emoji38][emoji38]my dear itabidi ushauri utakaofuata nikutoze fweza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
kweli kamandaMkuuu apoo inaweza ikawa Puri tatizo Kama unapiga kwa afya labda woga wakoo tu kwa kua mda mrefu ujatongoza demu muhimu apoo anza kua na story nao ma binti zeni unatongoza level za chini unavo fanikiwa amia level za mademu wa Kati Apo confidence itakua isharudi anza kutongoza unae mtaka NB; pesa ya muhimu mkuuu inarahisisha Mambo usiende huna kitu upate stress za bure tu Kama huna pesa Tafuta pesa kwanza[emoji3577][emoji3577]
Dah sawa maana puri inaweza fanya nideadNinachoamini ni kwamba,hakuna mwanamke yeyote utamsimamisha kwa adabu na heshima barabarani akashindwa kusimama(yawezekana mazungumzo yakawa ni utupolo mtupu)
Cha kufanya jirecord(video)mwenyewe hapo nyumbani kwako namna ya kumtongoza mwanamke then uanze kuipitia hiyo video wewe mwenyewe na kuitolea kasoro.
Fanya mara nyingi uwezavyo kujijengea kujiamin.jitahidi kupangilia maneno yako mkuu saw...π π
Hafu we nae......tafuta maneno konki ya kukusaidia kuomba namba ya simu ya mwanamke.....ukipata namba ya simu umeula π π ..ukifikia hapo na ukiona bado mdomo wako ni mzito kama zege la alfajiriππmy dear itabidi ushauri utakaofuata nikutoze fweza π π π π
huu ushauri upo deepkinachokupa uvivu wa kutomgoza ni uchaputa, hebu azimia kuacha uone utakavokua na confidence ya kutongoza.
Usisahau pia kutafuta fweza aiseh..maana sie nasi hatutabirikagi ohoooo...dah sawa maana puri inaweza fanya nidead