Hapana sihitaji kutangaziwa nia huku mkuu..kwa hilo asante.
Eee bhana mwanaume Uji amini..sasa unafikiri mwanaume asipojiamini ni taifa gani atalijenga[emoji28][emoji28][emoji28]..
Utani wa ngumu huu😅😅😅eti dada poa usije me hivi bhana🤣🤣Atajenga taifa la madada poa maana mwsho wa udomo zege ni huko .
Ila hizo lips kwny avatar yako ni nzuri sana ata kama nipo nje ya mada [emoji1]
Utani wa ngumu huu[emoji28][emoji28][emoji28]eti dada poa usije me hivi bhana🤣🤣
Ooohooo [emoji105][emoji28][emoji28]sawa asante
Miaka 29!!kwakweli bwana amtie nguvu..hakuna namnaHuo ndio ukweli sasa 20’s years unaanzaje kuwa domo zege hiyo ni dalili nzuri sana ya kuanza kuingia sokoni kununua malaya. Nna jamaa yangu ana 29 years now ni zaidi ya domo zege, tatizo udini sana mpaka kashindwa kubalance mambo na hivi bado kaganda kwao sijui ni lini atapata mwanamke anabaki kulalama awezi tafuta kisa kakataliwa na mmoja.
Miaka 29!!kwakweli bwana amtie nguvu..hakuna namna
FactNinachoamini ni kwamba,hakuna mwanamke yeyote utamsimamisha kwa adabu na heshima barabarani akashindwa kusimama(yawezekana mazungumzo yakawa ni utupolo mtupu)
Cha kufanya jirecord(video)mwenyewe hapo nyumbani kwako namna ya kumtongoza mwanamke then uanze kuipitia hiyo video wewe mwenyewe na kuitolea kasoro.
Fanya mara nyingi uwezavyo kujijengea kujiamin.jitahidi kupangilia maneno yako mkuu saw...😅😅
Hafu we nae......tafuta maneno konki ya kukusaidia kuomba namba ya simu ya mwanamke.....ukipata namba ya simu umeula 😅😅..ukifikia hapo na ukiona bado mdomo wako ni mzito kama zege la alfajiri😆😆my dear itabidi ushauri utakaofuata nikutoze fweza 😅😅😅😅
Mchunguze huyu vzr huenda ana..waHuo ndio ukweli sasa 20’s years unaanzaje kuwa domo zege hiyo ni dalili nzuri sana ya kuanza kuingia sokoni kununua malaya. Nna jamaa yangu ana 29 years now ni zaidi ya domo zege, tatizo udini sana mpaka kashindwa kubalance mambo na hivi bado kaganda kwao sijui ni lini atapata mwanamke anabaki kulalama awezi tafuta kisa kakataliwa na mmoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh JF raha san lolKama nyege zimeshindwa kukuendesha kukupa mbinu tukupe mbinu ipi zaidi ya kukuambia uwe mtumishi wa bwana tu!.
Heeeeh kumbe ndo zako jomoneeeh [emoji2296][emoji2296][emoji2296] lolNinachoamini ni kwamba,hakuna mwanamke yeyote utamsimamisha kwa adabu na heshima barabarani akashindwa kusimama(yawezekana mazungumzo yakawa ni utupolo mtupu)
Cha kufanya jirecord(video)mwenyewe hapo nyumbani kwako namna ya kumtongoza mwanamke then uanze kuipitia hiyo video wewe mwenyewe na kuitolea kasoro.
Fanya mara nyingi uwezavyo kujijengea kujiamin.jitahidi kupangilia maneno yako mkuu saw...[emoji28][emoji28]
Hafu we nae......tafuta maneno konki ya kukusaidia kuomba namba ya simu ya mwanamke.....ukipata namba ya simu umeula [emoji28][emoji28]..ukifikia hapo na ukiona bado mdomo wako ni mzito kama zege la alfajiri[emoji38][emoji38]my dear itabidi ushauri utakaofuata nikutoze fweza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kama mimi ni mwanaume Yes ndo zangu dearHeeeeh kumbe ndo zako jomoneeeh [emoji2296][emoji2296][emoji2296] lol
Haujambo mrembo wangu..?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh JF raha san lol
Mchunguze huyu vzr huenda ana..wa
Sijambo mie lolHaujambo mrembo wangu..?
Vyema.. love you very much..😉😜Sijambo mie lol