Tatizo la udomo zege

Tatizo la udomo zege

Hapana sihitaji kutangaziwa nia huku mkuu..kwa hilo asante.

Eee bhana mwanaume Uji amini..sasa unafikiri mwanaume asipojiamini ni taifa gani atalijenga[emoji28][emoji28][emoji28]..

Atajenga taifa la madada poa maana mwsho wa udomo zege ni huko .

Ila hizo lips kwny avatar yako ni nzuri sana ata kama nipo nje ya mada [emoji1]
 
Atajenga taifa la madada poa maana mwsho wa udomo zege ni huko .

Ila hizo lips kwny avatar yako ni nzuri sana ata kama nipo nje ya mada [emoji1]
Utani wa ngumu huu😅😅😅eti dada poa usije me hivi bhana🤣🤣

Ooohooo 👄😅😅sawa asante
 
Utani wa ngumu huu[emoji28][emoji28][emoji28]eti dada poa usije me hivi bhana🤣🤣

Ooohooo [emoji105][emoji28][emoji28]sawa asante

Huo ndio ukweli sasa 20’s years unaanzaje kuwa domo zege hiyo ni dalili nzuri sana ya kuanza kuingia sokoni kununua malaya. Nna jamaa yangu ana 29 years now ni zaidi ya domo zege, tatizo udini sana mpaka kashindwa kubalance mambo na hivi bado kaganda kwao sijui ni lini atapata mwanamke anabaki kulalama awezi tafuta kisa kakataliwa na mmoja.
 
Huo ndio ukweli sasa 20’s years unaanzaje kuwa domo zege hiyo ni dalili nzuri sana ya kuanza kuingia sokoni kununua malaya. Nna jamaa yangu ana 29 years now ni zaidi ya domo zege, tatizo udini sana mpaka kashindwa kubalance mambo na hivi bado kaganda kwao sijui ni lini atapata mwanamke anabaki kulalama awezi tafuta kisa kakataliwa na mmoja.
Miaka 29!!kwakweli bwana amtie nguvu..hakuna namna
 
Miaka 29!!kwakweli bwana amtie nguvu..hakuna namna

Huwa najiuliza yupo sawa kweli au anayo matatizo mengine yanayomfanya asiwe na mpenz hadi sasa, na anatamani kweli inamuumiza sana maana ni kitu anachopenda kukizungumzia sana naishia kumshauri na kumtia moyo atapata tu.
Ila malezi mengine yanawaharibu sana watoto, 95% kinachomsibu huyu mkuu ni matokeo ya malezi/makuzi yake.
 
Wewe t@mb@ Malaya tu hawana gharama hawana usumbufu jenga uchumi wako kwanza
 
Ninachoamini ni kwamba,hakuna mwanamke yeyote utamsimamisha kwa adabu na heshima barabarani akashindwa kusimama(yawezekana mazungumzo yakawa ni utupolo mtupu)


Cha kufanya jirecord(video)mwenyewe hapo nyumbani kwako namna ya kumtongoza mwanamke then uanze kuipitia hiyo video wewe mwenyewe na kuitolea kasoro.

Fanya mara nyingi uwezavyo kujijengea kujiamin.jitahidi kupangilia maneno yako mkuu saw...😅😅

Hafu we nae......tafuta maneno konki ya kukusaidia kuomba namba ya simu ya mwanamke.....ukipata namba ya simu umeula 😅😅..ukifikia hapo na ukiona bado mdomo wako ni mzito kama zege la alfajiri😆😆my dear itabidi ushauri utakaofuata nikutoze fweza 😅😅😅😅
Fact
 
Basi kama Domo zege tafuta movie ya Mzee majuto alivyokuwa anamtongiza yule mwanaume mwenye sauti ndogo utaelewa jinsi utakavyotongizwa wewe kama wewe hujui kutongoza
 
Kula tizi la kutosha kunywa maji mengi then vuna mikwanja ingia viwanja watakuja tu
 
Huo ndio ukweli sasa 20’s years unaanzaje kuwa domo zege hiyo ni dalili nzuri sana ya kuanza kuingia sokoni kununua malaya. Nna jamaa yangu ana 29 years now ni zaidi ya domo zege, tatizo udini sana mpaka kashindwa kubalance mambo na hivi bado kaganda kwao sijui ni lini atapata mwanamke anabaki kulalama awezi tafuta kisa kakataliwa na mmoja.
Mchunguze huyu vzr huenda ana..wa
 
Kama nyege zimeshindwa kukuendesha kukupa mbinu tukupe mbinu ipi zaidi ya kukuambia uwe mtumishi wa bwana tu!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh JF raha san lol
 
Ninachoamini ni kwamba,hakuna mwanamke yeyote utamsimamisha kwa adabu na heshima barabarani akashindwa kusimama(yawezekana mazungumzo yakawa ni utupolo mtupu)

Cha kufanya jirecord(video)mwenyewe hapo nyumbani kwako namna ya kumtongoza mwanamke then uanze kuipitia hiyo video wewe mwenyewe na kuitolea kasoro.

Fanya mara nyingi uwezavyo kujijengea kujiamin.jitahidi kupangilia maneno yako mkuu saw...[emoji28][emoji28]

Hafu we nae......tafuta maneno konki ya kukusaidia kuomba namba ya simu ya mwanamke.....ukipata namba ya simu umeula [emoji28][emoji28]..ukifikia hapo na ukiona bado mdomo wako ni mzito kama zege la alfajiri[emoji38][emoji38]my dear itabidi ushauri utakaofuata nikutoze fweza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Heeeeh kumbe ndo zako jomoneeeh [emoji2296][emoji2296][emoji2296] lol
 
Poleeeh sanaa Jah akutie nguvu uweze kuishinda hiyo hali.
 
Back
Top Bottom