chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
- #21
napambana sana mambo sio mabayaUsisahau pia kutafuta fweza aiseh..maana sie nasi hatutabirikagi ohoooo...
Fweza muhimu jombaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
napambana sana mambo sio mabayaUsisahau pia kutafuta fweza aiseh..maana sie nasi hatutabirikagi ohoooo...
Fweza muhimu jombaa
😅😅najua mbinu za kutongozwa mkuu,hapa napigwa Changa la macho Ila navunga tu😅😅...sasa sidhani kama ataweza niimbisha songi tukaelewana😅😅😅sipendi mwanaume asiyejiamini.jiamini hata kama huna hela bhana waaaaiiiiKuna wanawake wana jeuri mno, mleta mada nakushauri uanze mazoezi kwa huyu mwenye lips zake nzuri
Sasa kama mambo si mabaya inakuwaje unashindwa muimbisha mwanamke songinapambana sana mambo sio mabaya
kuna ex wangu alinimwaga so breakup ilikuwa harsh sana so nikawa affected na kunipunguzia kujiaminiSasa kama mambo si mabaya inakuwaje unashindwa muimbisha mwanamke songi
Hamorapa anakushinda!!
[emoji28][emoji28]najua mbinu za kutongozwa mkuu,hapa napigwa Changa la macho Ila navunga tu[emoji28][emoji28]...sasa sidhani kama ataweza niimbisha songi tukaelewana[emoji28][emoji28][emoji28]sipendi mwanaume asiyejiamini.jiamini hata kama huna hela bhana waaaaiiii
Hapana sihitaji kutangaziwa nia huku mkuu..kwa hilo asante.Kwahiyo unataka kusema anatangaza nia kwako? [emoji16][emoji16] we vunga tu si mpo kwa ajili yetu, kujiamini ni muhimu ukishakuwa kidume, hata upite speed ya mwendokasi kama nna nia ya kukusimamisha ntakusimamisha tu ukigoma nakusindikiza kidogo ukitoa namba ndio kazi inaanza taratibu bila kukurupuka
Acha mambo ya ajabu jombaa...yani upigwe chini upoteze kujiamin??😅😅😅😅never..kuna ex wangu alinimwaga so breakup ilikuwa harsh sana so nikawa affected na kunipunguzia kujiamini
dohAcha mambo ya ajabu jombaa...yani upigwe chini upoteze kujiamin??😅😅😅😅never..
Au labda Kosa lililofanya ukapigwa chini ndo huku huku kutokujiamni na ndo mana mpka sasa bado hujiamini..
Na usipojifunza kujiamin I mbele ya mwanamke basi andika maumivu maana utaendelea kupigwa chini sana tu
😂😂Ninachoamini ni kwamba,hakuna mwanamke yeyote utamsimamisha kwa adabu na heshima barabarani akashindwa kusimama(yawezekana mazungumzo yakawa ni utupolo mtupu)
Cha kufanya jirecord(video)mwenyewe hapo nyumbani kwako namna ya kumtongoza mwanamke then uanze kuipitia hiyo video wewe mwenyewe na kuitolea kasoro.
Fanya mara nyingi uwezavyo kujijengea kujiamin.jitahidi kupangilia maneno yako mkuu saw...😅😅
Hafu we nae......tafuta maneno konki ya kukusaidia kuomba namba ya simu ya mwanamke.....ukipata namba ya simu umeula 😅😅..ukifikia hapo na ukiona bado mdomo wako ni mzito kama zege la alfajiri😆😆my dear itabidi ushauri utakaofuata nikutoze fweza 😅😅😅😅
Sema naomba kujifunza uzinzi!wakuu salaam
kama mada inavyoelezea nimekuwa napatwa na tatizo la kuogopa kutongoza mabinti na kama mnavyojua hapa dar kuna madem wakali sana ila ukikutana nao road wako faster ni ngumu kumsimamisha manzi. Hii hali sijui inatokana na nini naanza kuhisi nitakuwa na matatizo somewhere. naombeni mbinu wakuu.
Mkuu tafuta gari Kali miliki,,,uwe na pesa,,,tatizo lako halitakuwapo tena.wakuu salaam
kama mada inavyoelezea nimekuwa napatwa na tatizo la kuogopa kutongoza mabinti na kama mnavyojua hapa dar kuna madem wakali sana ila ukikutana nao road wako faster ni ngumu kumsimamisha manzi. Hii hali sijui inatokana na nini naanza kuhisi nitakuwa na matatizo somewhere. naombeni mbinu wakuu.
Doh hiyo vipi!!!🤣🤣🤣
umenishauri vizuriDoh hiyo vipi!!!🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆😆Nimsaidie kutongoza au kufanya nini sasa maana kila mtu ana jicho lake! Mie nachopenda yeye anaweza asikipende 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣weeee....safiumenishauri vizuri
Ila ka vipi mpe shavu mwanetu akache mbanga za kupanda mnazi kwa mkono mmoja!🤣🤣🤣 We umsaidie jambo lake maana ushamuelewa.😆😆😆😆😆😆