Tatizo la udomo zege

Tatizo la udomo zege

Kuna wanawake wana jeuri mno, mleta mada nakushauri uanze mazoezi kwa huyu mwenye lips zake nzuri
😅😅najua mbinu za kutongozwa mkuu,hapa napigwa Changa la macho Ila navunga tu😅😅...sasa sidhani kama ataweza niimbisha songi tukaelewana😅😅😅sipendi mwanaume asiyejiamini.jiamini hata kama huna hela bhana waaaaiiii
 
[emoji28][emoji28]najua mbinu za kutongozwa mkuu,hapa napigwa Changa la macho Ila navunga tu[emoji28][emoji28]...sasa sidhani kama ataweza niimbisha songi tukaelewana[emoji28][emoji28][emoji28]sipendi mwanaume asiyejiamini.jiamini hata kama huna hela bhana waaaaiiii

Kwahiyo unataka kusema anatangaza nia kwako? [emoji16][emoji16] we vunga tu si mpo kwa ajili yetu, kujiamini ni muhimu ukishakuwa kidume, hata upite speed ya mwendokasi kama nna nia ya kukusimamisha ntakusimamisha tu ukigoma nakusindikiza kidogo ukitoa namba ndio kazi inaanza taratibu bila kukurupuka
 
Kwahiyo unataka kusema anatangaza nia kwako? [emoji16][emoji16] we vunga tu si mpo kwa ajili yetu, kujiamini ni muhimu ukishakuwa kidume, hata upite speed ya mwendokasi kama nna nia ya kukusimamisha ntakusimamisha tu ukigoma nakusindikiza kidogo ukitoa namba ndio kazi inaanza taratibu bila kukurupuka
Hapana sihitaji kutangaziwa nia huku mkuu..kwa hilo asante.

Eee bhana mwanaume Uji amini..sasa unafikiri mwanaume asipojiamini ni taifa gani atalijenga😅😅😅..
 
kuna ex wangu alinimwaga so breakup ilikuwa harsh sana so nikawa affected na kunipunguzia kujiamini
Acha mambo ya ajabu jombaa...yani upigwe chini upoteze kujiamin??😅😅😅😅never..

Au labda Kosa lililofanya ukapigwa chini ndo huku huku kutokujiamni na ndo mana mpka sasa bado hujiamini..

Na usipojifunza kujiamin I mbele ya mwanamke basi andika maumivu maana utaendelea kupigwa chini sana tu
 
Acha mambo ya ajabu jombaa...yani upigwe chini upoteze kujiamin??😅😅😅😅never..

Au labda Kosa lililofanya ukapigwa chini ndo huku huku kutokujiamni na ndo mana mpka sasa bado hujiamini..

Na usipojifunza kujiamin I mbele ya mwanamke basi andika maumivu maana utaendelea kupigwa chini sana tu
doh
 
Ninachoamini ni kwamba,hakuna mwanamke yeyote utamsimamisha kwa adabu na heshima barabarani akashindwa kusimama(yawezekana mazungumzo yakawa ni utupolo mtupu)


Cha kufanya jirecord(video)mwenyewe hapo nyumbani kwako namna ya kumtongoza mwanamke then uanze kuipitia hiyo video wewe mwenyewe na kuitolea kasoro.

Fanya mara nyingi uwezavyo kujijengea kujiamin.jitahidi kupangilia maneno yako mkuu saw...😅😅

Hafu we nae......tafuta maneno konki ya kukusaidia kuomba namba ya simu ya mwanamke.....ukipata namba ya simu umeula 😅😅..ukifikia hapo na ukiona bado mdomo wako ni mzito kama zege la alfajiri😆😆my dear itabidi ushauri utakaofuata nikutoze fweza 😅😅😅😅
😂😂
 
wakuu salaam
kama mada inavyoelezea nimekuwa napatwa na tatizo la kuogopa kutongoza mabinti na kama mnavyojua hapa dar kuna madem wakali sana ila ukikutana nao road wako faster ni ngumu kumsimamisha manzi. Hii hali sijui inatokana na nini naanza kuhisi nitakuwa na matatizo somewhere. naombeni mbinu wakuu.
Sema naomba kujifunza uzinzi!
 
wakuu salaam
kama mada inavyoelezea nimekuwa napatwa na tatizo la kuogopa kutongoza mabinti na kama mnavyojua hapa dar kuna madem wakali sana ila ukikutana nao road wako faster ni ngumu kumsimamisha manzi. Hii hali sijui inatokana na nini naanza kuhisi nitakuwa na matatizo somewhere. naombeni mbinu wakuu.
Mkuu tafuta gari Kali miliki,,,uwe na pesa,,,tatizo lako halitakuwapo tena.
Maneno Matamu watakuja nayo wenyewe warembo..
 
Back
Top Bottom