Tatizo la Uke Kuwa Mkavu: Chanzo, Suluhisho na Ushauri

Hata Mimi mchepuko wangu ni mkavu sana hua tunatumia KY jelly na tunaenjoy tu
 
Wasalaam,

Mpenzi wangu uke wake mkavu, afanye nini ili kuwa na ute?
 
Kuosha kwa sabuni
 
Mi naona hana hisia na wewe kuna kitu tu unacho labda elimu au ela ila hisia na ww za mapenzi hana utapatanae shida sana uyo wanawake wengi wanaolew na wanaume wasiowapenda kwajil ya masilahi tu ndo shida kama mwanaum unampenda ukimwangalia usoni tu wakati wa time ushaloa kabla hata hajakugusa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…