Siyo jambo geni sana hili. Wapo ambao siyo wakavu wakati wengine ni wakavu. Lakini ziko sababu ambazo zinaweza kumfanya awe mkavu au asiwe mkavu.
Sexual stimulation ya kutosha kupitia foreplay inasaidia kwa kiasi kikubwa kuondoa ukavu. Aina ya vidonge vya uzazi anavyotumia vinaweza kuchangia kuongezeka kwa ukavu.
Zipo pia sababu nyingine kama mabadiliko kwenye hormones za kike, premature menopause, kuwa katika dozi ya dawa fulani, allergy na aina za kemikali zilizopo kwenye vitu kama sabuni, perfume, n.k na mwanamke kujikita zaidi kwenye kulea mtoto.
Pia sababu inaweza kuwa ni psychological au emotional related kama stress, woga, wasiwasi, bond aliyonayo kwako, wewe mwenyewe, n.k.
Treatment inategemea na sababu ya huo ukavu. So, the first thing ni ku-diagnose cause ya ukavu.
Usianze tuu kutumia lubricants na vaginal moisturizers kama baadhi walivyopendekeza. Tafuta kwanza chanzo cha kuwa mkavu.
Na katika kutafuta chanzo kunahitaji ushirikiano mkubwa baina yenu, ikiwa ni pamoja na kwenda kwa wataalam pamoja kama nyie wenyewe mkishindwa ku-diagnose chanzo.
Labda anza kwa kumfanya aji-feel more loved and wanted than ever kama bado hufanyi hivyo. Hapa naama kuwa kugegedana iwe sehemu ndogo sana badala ya sehemu kubwa kila mnapofanya mapenzi.
Wengine wanakuwa so turn-in na kulowa kwa kuambiwa genuinely ni jinsi gani they are wanted or desired and how good they make you feel.
Badilisheni sehemu na style za kegegedana. Siyo lazima mgegedane maskani too au kwenye kitanda hicho hicho.
Pia don't forget the tale of woman's confidence. Some like it veeeeeery dirty than most men would think of. Na mwanamke who like it dirty does not necessarily mean that she is a slut.