Tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume limepungua nchini?

Tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume limepungua nchini?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna wakati kulikuwa na kelele nyingi sana na matangazo kila kona kuhusu tatizo la nguvu za kiume na tiba mbalimbali za kuongeza nguvu za kiume.

Sasa hivi ni kama harakati za kutafuta nguvu za kiume zimefifia sana, hazisikiki kelele nyingi katika vyombo mbalimbali vya habari au mitandao kuhusu masuala ya nguvu za kiume.
Kulikoni? Nini kimetokea hadi kupelekea harakati hizo kupungua sana kama sio kupotea kabisa?
 
Watu wamekubaliana na hali zao.

Dhamira ya kuzagamuana ni kufika mshindo, ndipo raha ilipo. Sasa unahangaika kupaka mkongo ili uchelewe kupata raha ili iweje?
Ikiwa dhumuni la kula ni shibe na unashiba kwa matonge mawili, ya nini ujitapishe ili kutengeneza nafasi nyingine.

Kitakwimu ikitokea wakaitwa waliomlala mtu fulani huwa hawaangalii ulichukua muda gani kufika mshindo, wanaangalia nani alichomeka pangoni. Sasa ya nini kujiumiza ikiwa kwenye takwimu ushaingia hata kama ni sekunde?

Siri ni moja, fanya kwa majaaliwa yako. Kama ni mzee wa kimoko chali ndani ya sekunde, basi ingia ndani, piga tako zako 2 takatifu, fika mshindo, nyanyuka ukung'ute kende zako, tembea mwendo wa ushindi kuwa na wewe umetiamo. Tena kunogesha ladha, muulize kabisa 'baby ume enjoy' 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom