Tatizo la umeme: Awamu ya tano haiwezi kukwepa lawama labda tu kama madai hayana ukweli

Tatizo la umeme: Awamu ya tano haiwezi kukwepa lawama labda tu kama madai hayana ukweli

By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini.Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Nadhani kuna kitu ambacho wewe na mimi hatukijui. Inawezekana kabisa miradi yote hiyo ilikuwa na upigaji mwingi, yaani ilijaa rushwa na watu walikuwa wameshachukua rushwa tayari. Na ndiyo maana kwa sasa kinachotokea ni kuhakikisha "kazi iendelee" ya kufufua yale ambayo awamu ya 5 iliyaona hayafai yanaendelezwa na hii awamu ya 6. Kuhusu umeme wa maji nadhani nayo ilikuwa master plan. Kuhusu kukatika kwa umeme kwa kweli sijui awamu ya 5 hayo mambo hayakuwepo.
 
Hivi nyie watu wakati huo mlikuwa mnaishi Tanzania au ndo ile ya kusifia kila kitu?

Hebu tuangalie kwa kwa haraka haraka tukianza na mdau kutoka Arusha...

View attachment 2015661
Fuatilia huo uzi uone watu walivyokuwa wanalalamika kuhusu umeme, tena February!!

Nyuzi nyingine....

1. Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya December 05, 2020
2. Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini - December 21, 2020
3. Wilaya ya Ubungo kuna mgao wa umeme? Mpaka sasa hakuna umeme March 01, 2021
4. TANESCO tutangazieni kama kuna mgao wa umeme nchini March 04, 2021
Mkuu unashindwa kuelewa kuwa huu mgao wa umeme ni michongo ya watu
 
Hivi nyie watu wakati huo mlikuwa mnaishi Tanzania au ndo ile ya kusifia kila kitu?

Hebu tuangalie kwa kwa haraka haraka tukianza na mdau kutoka Arusha...

View attachment 2015661
Fuatilia huo uzi uone watu walivyokuwa wanalalamika kuhusu umeme, tena February!!

Nyuzi nyingine....

1. Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya December 05, 2020
2. Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini - December 21, 2020
3. Wilaya ya Ubungo kuna mgao wa umeme? Mpaka sasa hakuna umeme March 01, 2021
4. TANESCO tutangazieni kama kuna mgao wa umeme nchini March 04, 2021

Ukiona watu hawakumbuki ujue it was immaterial damage, sawa na kutafuta tone la maji kwenye bahari.. Ila ya sasa ni gumzo..

Jaribu kujiuliza hata kidogo why now tention iko juu sana? Kwa mizania ya idadi ya nyuzi zilizofunguliwa ndani ya siku hizi chache tu..

Hitilifu za hapa na pale hazikosekani ila zisikithiri.
 
Zito sura lake baya sauti lake baya zezeta lichumia tumbo mamruki la CCM CHAMA CHA WAPIGA DILI NDIO MAAANA NASEMA TANZANIA HAKUNA UPINZANI ETI KMA NDIO PINZANI HILI KWELI? hajui agenda ya chama chake ni kipi Ccm ndio limetengeneza chama hicho pale amekaaa tu kma box eti nae anajiiita msomi
 
View attachment 2015658

Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.

TANESCO long term plan ya umeme inapatikana kwenye hapo juu ☝️na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower, gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.

Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa na very simple watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.

Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.

Bwawa la Nyerer gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.

Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.

More safe maana bomba la gas line ni moja tu hakuna back line likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatoka kuongeza hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.

Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.

Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ujinga mtupu.
Duh ,mkuu umeingia deep sana ila kwakua iq zetu ni ndogo,kuna mijitu itakuja kukuzodoa
 
Acha kujivua nguo wewe! JPM Alikua zaidi ya huo upuuzi ulioandika, na bado, mpk Maushungi anamaliza muda wake kutakuwa na mgao mpk wa boxer!!
We kesho unatakiwa polis makao makuuu unamuita rais maushungi du
 
Zito sura lake baya sauti lake baya zezeta lichumia tumbo mamruki la CCM CHAMA CHA WAPIGA DILI NDIO MAAANA NASEMA TANZANIA HAKUNA UPINZANI ETI KMA NDIO PINZANI HILI KWELI? hajui agenda ya chama chake ni kipi Ccm ndio limetengeneza chama hicho pale amekaaa tu kma box eti nae anajiiita msomi
Jiwe ndio alikuwa handsome?

Halafu hoja ya uzuri wa sura hapa inaingiaje?

Au hii mada inahusu urembo?

Acha kuwa kilaza.
 
Acheni upumbavu jamani!

Jk alikuwa na mgao wa umeme wa kufa mtu!

Magufuli hakuwa na mgao kabisa wa umeme...!

Samia kaingia tu tayari mgao, hebu twambieni huyu mnaemlaumu yeye alikuwa anatumia mitambo ipi?
Futa kauli yako mkuu, hujawahi kuona mgao kweli au kwa sababu haikusemwa ni mgao? Jiulize pia ni Watu wangapi wameunganishwa baada ya Samia kushusha bei mpaka 27000,matumiz yameongezeka na production imeshuka.
Labda kama huoni hili jua na joto basi kwako itakuwa uzalishaji uko pale pale
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini.Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Ukweli ni kitu adimu sana kwenye ulimwengu wa siasa.
Magufuli alikuwa na upendo wa kipekee sana na Tanzania na kizuri zaidi Magufuli alikua na uwezo mkubwa wa kuelewa na kutafakari mambo. Lazima tukubaliane na uhalisia wa sasa kwamba tumempoteza kiongozi(head) hivyo kila mwenye dili lake anatumia ujuzi wa lugha na ushawishi wa namna yake kutwist ukweli ili agenda yake ipite.
Magufuli aliweka wazi ni hatari sana nchi kupoteza control kwenye eneo nishati hivyo kupunguza utegemezi ndio maana alifufua agenda ya strigler. Na aliamua kwenda kwenye maji kwa kutambua eneo ya natural gas limeshakamwata na wabia (kampuni za nje) hivyo tutakuwa tumepoza eneo hilo.
Lazima uelewe taifa lina idadi kubwa ya viongozi wabinafsi na wala rushwa hivyo ni nadra kwao kufikiri miaka 50 baada ya leo na kukubali kupokea 10% ambazo zinazaa manufaa binafsi na mzigo mkubwa kwa nchi.
 
View attachment 2015658

Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.

TANESCO long term plan ya umeme inapatikana kwenye hapo juu ☝️na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower, gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.

Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa na very simple watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.

Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.

Bwawa la Nyerer gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.

Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.

More safe maana bomba la gas line ni moja tu hakuna back line likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatoka kuongeza hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.

Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.

Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ujinga mtupu.
Zitto umepigwa hapa na kitu kizito kichwani hahaha
 
View attachment 2015658

Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.

TANESCO long term plan ya umeme inapatikana kwenye hapo juu [emoji3516]na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower, gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.

Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa na very simple watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.

Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.

Bwawa la Nyerer gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.

Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.

More safe maana bomba la gas line ni moja tu hakuna back line likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatoka kuongeza hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.

Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.

Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ujinga mtupu.
Matakataka yatakwambia wewe ni sukuma gang
 
Back
Top Bottom