Tatizo la umeme kukatika; Waziri Makamba jipime kama unatosha au kung'atuka

Tatizo la umeme kukatika; Waziri Makamba jipime kama unatosha au kung'atuka

Roho Mbaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
777
Reaction score
677
Ni takrbani Masaa nane toka saa 3.20 usiku hadi hivi sasa alfajili tuko gizani bila Tanesco kutoa taarifa yoyote kwa Wananchi

[emoji819]Watanzania wanalala gizani huku viongozi wakishindwa kuwajibika kwa matatizo yayotokea.

[emoji819]Mtu wa kwanza kuwajibika katika hili ni Waziri anayehudumu hivi sasa kwa kushindwa kuhimili mikimiki ya Wizara hiyo, Hali inayosabaisha umeme kukatika mara mara swala ambalo hapo awali halikuwepo kabisa kama ilivyo hivi sasa

[emoji819]Hizi hujuma wanazofanyiwa Watanzania hivi sasa na wakati waziri husika yupo tu akitembelea V8 na kuziba masikio kama hahusiki. Ni wakati wa kujiuzuru kupisha mtu mwingine ambae anaweza akashughulikia hizi hujuma za kukatika mara kwa mara umeme

[emoji819]Ni vigumu Viongozi wa kitanzania kuwajibika lakini kwa hili JANUARY MAKAMBA jiuzuru kulinda heshima yako

TUPO GIZANI


JPEG_20220118_044355_5015841983667674940.jpg
 
Sijui kuna shida gani kwakweli,mana ni moments tu alipochukua ofisi ndipo hizi drama zikaanza.

Unaweza hisi ni mpango mkakati maalum wakutuweka gizani ili "kazi chafu" ziweke kufanyika.

Bila aibu,bila soni wala bila haya macho makavu mchana kweupeeee duh huu ni ujasiri wa hali ya juu saana.

Mtu kama huyu kuwauza ni kugusa tu,hana roho ya utu.ubinadamu ulishamtoka haupo tena.

Kikubwa ni maslahi tu yanayoangaliwa kelele zenu za chura hazimzuii tembo kunywa maji.enewei kila jambo lina mwanzo na mwisho.iwe mwisho mwema or mwisho mbaya ila ni mwisho.


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Ni takrbani Masaa nane toka saa 3.20 usiku hadi hivi sasa alfajili tuko gizani bila Tanesco kutoa taarifa yoyote kwa Wananchi

[emoji819]Watanzania wanalala gizani huku viongozi wakishindwa kuwajibika kwa matatizo yayotokea.

[emoji819]Mtu wa kwanza kuwajibika katika hili ni Waziri anayehudumu hivi sasa kwa kushindwa kuhimili mikimiki ya Wizara hiyo, Hali inayosabaisha umeme kukatika mara mara swala ambalo hapo awali halikuwepo kabisa kama ilivyo hivi sasa

[emoji819]Hizi hujuma wanazofanyiwa Watanzania hivi sasa na wakati waziri husika yupo tu akitembelea V8 na kuziba masikio kama hahusiki. Ni wakati wa kujiuzuru kupisha mtu mwingine ambae anaweza akashughulikia hizi hujuma za kukatika mara kwa mara umeme

[emoji819]Ni vigumu Viongozi wa kitanzania kuwajibika lakini kwa hili JANUARY MAKAMBA jiuzuru kulinda heshima yako

TUPO GIZANIView attachment 2085636
Tafadhali onesha unalalamikia eneo gani na namba yako ya simu kwa huduma na taarifa zaidi

Huduma kwa Wateja
 
Tafadhali onesha unalalamikia eneo gani na namba yako ya simu kwa huduma na taarifa zaidi

Huduma kwa Wateja
Ndugu Tanesco,

Kwa kipindi cha miezi michache nyuma hadi sasa umeme umekuwa ukikatika katika takribani maeneo yote nchini tena bila taarifa rasmi hata sasa imekuwa kawaida.

Wananchi hatufurahii huduma zenu. Tunataka muoneshe uwajibikaji katika hili na si porojo porojo za hapa na pale.
 
Sijui kuna shida gani kwakweli,mana ni moments tu alipochukua ofisi ndipo hizi drama zikaanza.

Unaweza hisi ni mpango mkakati maalum wakutuweka gizani ili "kazi chafu" ziweke kufanyika.
Anatia kinyaa
 
Tafadhali onesha unalalamikia eneo gani na namba yako ya simu kwa huduma na taarifa zaidi

Huduma kwa Wateja
Hivi hamjui tatizo LA umeme lililopo sasa hivi?hamjui namna umeme unavyokatika katika hovyo?

You can't be serious you guys!!

Nchi nzima hii ni malalamiko tu ya umeme kutokuwa stable, umeme hauna uhakika ukiwaka mchana usiku hamna, ukiwaka usiku mchana hamna.

Kwa mfano Mwanza sasa hivi umeme hamna hapa mjini mnasemaje na hilo hamna taarifa??

Nashangazwa na kushangaa kwenu as if hamna tatizo LA aina yeyote ile.kama kweli hamjui umeme umekuwa shida basi kazi zimewashinda or mmezidiwa maarifa na baadhi ya watu.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hivi hamjui tatizo LA umeme lililopo sasa hivi?hamjui namna umeme unavyokatika katika hovyo?

You can't be serious you guys!!

Nchi nzima hii ni malalamiko tu ya umeme kutokuwa stable, umeme hauna uhakika ukiwaka mchana usiku hamna, ukiwaka usiku mchana hamna.

Kwa mfano Mwanza sasa hivi umeme hamna hapa mjini mnasemaje na hilo hamna taarifa??

Nashangazwa na kushangaa kwenu as if hamna tatizo LA aina yeyote ile.kama kweli hamjui umeme umekuwa shida basi kazi zimewashinda or mmezidiwa maarifa na baadhi ya watu.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
KUOMBA RADHI KATIZO LA UMEME MAGU

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Mwanza linaomba radhi wateja wake kuwa kumetokea katizo la Umeme tarehe 18/01/2022 katika wilaya ya Magu na kusababisha maeneo mengi wilaya ya Magu kukosa huduma ya umeme.


HATUA ZILIZOCHUKULIWA

Tumefanya ukaguzi wa njia yetu ya umeme na kufanikiwa kurejesha huduma ya umeme kwa baadhi ya maeneo ya igudija na kisesa
Tunaendelea na jitihada za kurejesha huduma ya umeme kwa maeneo yote ya wilaya ya Magu ,Misungwi na Busega

Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.

Tafadhali, usiguse wala kukanyaga waya wowote uliokatika au kulala chini.

Pakua _TANESCO App _kwenye PLAY STORE Ufurahie huduma kiganjani mwako au Wasiliana nasi kupitia Dawati la dharura simu namba; 0783722767.

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano Huduma kwa Wateja,
TANESCO - MWANZA,
+255683877120

Januari 18, 2022
 
Hivi hamjui tatizo LA umeme lililopo sasa hivi?hamjui namna umeme unavyokatika katika hovyo?

You can't be serious you guys!!

Nchi nzima hii ni malalamiko tu ya umeme kutokuwa stable, umeme hauna uhakika ukiwaka mchana usiku hamna, ukiwaka usiku mchana hamna.

Kwa mfano Mwanza sasa hivi umeme hamna hapa mjini mnasemaje na hilo hamna taarifa??

Nashangazwa na kushangaa kwenu as if hamna tatizo LA aina yeyote ile.kama kweli hamjui umeme umekuwa shida basi kazi zimewashinda or mmezidiwa maarifa na baadhi ya watu.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Tunajibu au kutolea ufafanuzi taarifa zilizokamilika tafadhali zingatia hilo
 
Tunajibu au kutolea ufafanuzi taarifa zilizokamilika tafadhali zingatia hilo
Taarifa zilizokamilika mnataka watu waache shughuli zao waje makao makuu na barua mkononi kuwaambia mtaani kwenu hakuna umeme?

Taarifa niliyowapa kuwa Mwanza umeme unasumbua haijakamilika mpaka niwafate mliko?

Mtoa mada alieleta hii mada ya Malalamiko taarifa zake hazijakamilika?

Hiyo barua ya kuomba radhi huko Magu kwa katizo LA umeme ni ushahidi tosha kuhusu hiki tunacholalamikia hapa.

Sasa sijui mnataka taarifa gani kamilifu zitakazowafanya mguswe na hii kero iliyojitokeza ghafla ambayo tulishaanza kuisahau.

Enewei, kwa vile hamna ushindani fanyeni mnavyotaka ingekuwa kama makampuni ya simu za mkononi mngetafuta nyie hizo taarifa za malalamiko ili mboreshe kazi zenu.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
KUOMBA RADHI KATIZO LA UMEME MAGU

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Mwanza linaomba radhi wateja wake kuwa kumetokea katizo la Umeme tarehe 18/01/2022 katika wilaya ya Magu na kusababisha maeneo mengi wilaya ya Magu kukosa huduma ya umeme.


HATUA ZILIZOCHUKULIWA

Tumefanya ukaguzi wa njia yetu ya umeme na kufanikiwa kurejesha huduma ya umeme kwa baadhi ya maeneo ya igudija na kisesa
Tunaendelea na jitihada za kurejesha huduma ya umeme kwa maeneo yote ya wilaya ya Magu ,Misungwi na Busega

Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.

Tafadhali, usiguse wala kukanyaga waya wowote uliokatika au kulala chini.

Pakua _TANESCO App _kwenye PLAY STORE Ufurahie huduma kiganjani mwako au Wasiliana nasi kupitia Dawati la dharura simu namba; 0783722767.

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano Huduma kwa Wateja,
TANESCO - MWANZA,
+255683877120

Januari 18, 2022
Waambieni watu kuna mgao wa umeme,mnaficha ficha nini?
 
Tafadhali onesha unalalamikia eneo gani na namba yako ya simu kwa huduma na taarifa zaidi

Huduma kwa Wateja
[emoji769]Namba ya simu ya nini? Hacheni kukata kata umeme[emoji769]
 
Marobot ya Tanesco ayo
majbu yao yale yale tu...

Hayo yalishatolewaga hisia kwa shot Za umeme hata ulalamikeje juu ya swala la ukatkaj wa umeme majbu yao yanajulikana

Tuinjoy tu giza saiv bas... wapgaj washalud kazn ...

Miaka mitatu nne ya nyuma enz Za magu tuliinjoi sana huduma ya umeme... saiv sasa



Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Tafadhali onesha unalalamikia eneo gani na namba yako ya simu kwa huduma na taarifa zaidi

Huduma kwa Wateja
Hukuelewa kichwa cha uzi au umeme haukatiki?
 
Back
Top Bottom