Tatizo la umeme kukatika; Waziri Makamba jipime kama unatosha au kung'atuka

Tatizo la umeme kukatika; Waziri Makamba jipime kama unatosha au kung'atuka

ivi ww n tanesco kweli!! mi hamna sehemu umeme naenda hausumbui nimezunguka mikoa minne sasa[emoji28][emoji28]eti onesha mkoa gan tuambie mkoa wene umeme fulu 24/7 tuhamie
Sasa hivi huko Waswanu Dom umeme hakuna toka saa nne kasorobo asubuhi leo.
 
Taarifa zilizokamilika mnataka watu waache shughuli zao waje makao makuu na barua mkononi kuwaambia mtaani kwenu hakuna umeme?

Taarifa niliyowapa kuwa Mwanza umeme unasumbua haijakamilika mpaka niwafate mliko?

Mtoa mada alieleta hii mada ya Malalamiko taarifa zake hazijakamilika?

Hiyo barua ya kuomba radhi huko Magu kwa katizo LA umeme ni ushahidi tosha kuhusu hiki tunacholalamikia hapa.

Sasa sijui mnataka taarifa gani kamilifu zitakazowafanya mguswe na hii kero iliyojitokeza ghafla ambayo tulishaanza kuisahau.

Enewei, kwa vile hamna ushindani fanyeni mnavyotaka ingekuwa kama makampuni ya simu za mkononi mngetafuta nyie hizo taarifa za malalamiko ili mboreshe kazi zenu.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Yaani nawaza na hizo treni za umeme wanazokazana nazo si watu watakuja kulazwa porini? Hawako serious na suala la umeme. Nchi hii kuwa ya viwanda tuna miaka 50 mbele
 
Sijaona sehemu TANESCO mmemjibu huyu mteja.

Ndugu @TANESCO mnatuudhi na majibu yenu ya porojo za hapa na pale mnajibu as if hamuelewi kinachoendelea.

Acheni drama watu tuna kazi nyingi za kufanya na mnazidi kutia hasara.
Hawezi kunijibu kwa hofu kwamba naweza kumuanika. Ukweli ndio huo mgao upo na wao huko HQ ndio wanatoa maelekezo wakate baadhi ya maeneo kupunguza matumizi
 
Back
Top Bottom