kuhitaji uwekewe namba ya simu kwa mtu anaetumia jina bandia humu Jf kunapelekea kutokuwepo na umuhimu wa yeye kutumia jina bandia.Namba za simu zimesajiliwa na watu hawahitaji kufahamika humu.Tafadhali onesha unalalamikia eneo gani na namba yako ya simu kwa huduma na taarifa zaidi
Huduma kwa Wateja
..........Nchi nzima kuna tatizo la umeme, Acheni kujifanya hamjui.Tafadhali onesha unalalamikia eneo gani na namba yako ya simu kwa huduma na taarifa zaidi
Huduma kwa Wateja
Kwa kweli hii ni aibu kama Taifa tuko karne ya 21 haya mambo Duniani hakuna tena umeme kukatika katika huu ni ujinga wa mwisho sasa munataka maendeleo munataka waekezaji waje wakati hamuna ENERGY Vipi investors aje kuwekezaaa .Nishati zipo nyingi tu munashindwa kuzitumia .Jengeni Nuk ya Umeme hiyo ndio kiboko yao mutamaliza kila kitu na mutawauzia East na West africa .Dah Aibu sana sana ikifika usiku tu utajua hii nchi bla bla blaa nyingi sana vitendo Zeroooooooooo.Ndugu Tanesco,
Kwa kipindi cha miezi michache nyuma hadi sasa umeme umekuwa ukikatika katika takribani maeneo yote nchini tena bila taarifa rasmi hata sasa imekuwa kawaida.
Wananchi hatufurahii huduma zenu. Tunataka muoneshe uwajibikaji katika hili na si porojo porojo za hapa na pale.
Tunashukuru kwa taarifa tunaifanyia kazi tafadhaliTANESCO
Habari za kazi?
Eneo letu la MARANGU MAUO Karibu na kanisa la KKKT BETHANIA kwa mwenyekiti Estomihi Mongi ambaye namba zake za simu ni 0753716202 Tunaomba msaada wa haraka.
Ninaijulisha ofisi yako kuwa tangu mwaka 2018 au kabla tumekuwa tukiripoti katika ofisi ya Tanesco HIMO-Moshi tatizo la nguzo kuoza, kuliwa na mchwa na kuinama kisha waya zake kuwa chini kwenye migomba na nyingine kushikiliwa kwa vijiti. Wakati wote ripoti zilipopelekwa tumeahidiwa mafundi kuja kufanya matengenezo haraka jambo ambalo halijawahi kutokea.
Kutokana na hali ya hatari inayoweza kutokea wakati wowote imenilazimu kuandika waraka huu na kuweka viambatanisho vya picha kwaajili ya ofisi yako ya Tanesco kuchukua hatua,
Tafadhali angalia viambatanisho.
Tunatarajia kusikia toka kwenu kuokoa janga linaloweza kutokea na ninatanguliza shukrani zetu.
View attachment 2087596
View attachment 2087600
View attachment 2087601
View attachment 2087602
View attachment 2087603
Unaweza kutuma taarifa hata Pmkuhitaji uwekewe namba ya simu kwa mtu anaetumia jina bandia humu Jf kunapelekea kutokuwepo na umuhimu wa yeye kutumia jina bandia.Namba za simu zimesajiliwa na watu hawahitaji kufahamika humu.
Urahisi ni wewe kuweka namba za simu za huduma kwa wateja akakupigia.
Tunashukuru kwa taarifaMarobot ya Tanesco ayo
majbu yao yale yale tu...
Hayo yalishatolewaga hisia kwa shot Za umeme hata ulalamikeje juu ya swala la ukatkaj wa umeme majbu yao yanajulikana
Tuinjoy tu giza saiv bas... wapgaj washalud kazn ...
Miaka mitatu nne ya nyuma enz Za magu tuliinjoi sana huduma ya umeme... saiv sasa
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Tunashukuru kwa taarifaNiko hapa Mbezi beach umeme umekuwa ukikatika unakaa kidogo unawaka then unakatika tena toka saa kumi usiku, umeshafanya hivyo kama mara 20 hivi naona hataru ya kuunguliwa na vifaa vya umeme. Hapa ninapoandika umekatika na hatujui utarudi saa ngapi, shughuli za kiuchumi zimesimama. Kweli nchi imefunguliwa kila mmojaanapambana ula kwa urefu wa kamba yake. RIP chuma
Copy and pasteTunashukuru kwa taarifa
Tafadhali tujulishe
Eneo gani
Simu
Tatizo
Toka saa ngapi
Wengi au mwenyewe
Ahsante sana
TAARIFA YA KUREJEA KWA HUDUMA YA UMEME LAINI YA JANGWANI 1Niko hapa Mbezi beach umeme umekuwa ukikatika unakaa kidogo unawaka then unakatika tena toka saa kumi usiku, umeshafanya hivyo kama mara 20 hivi naona hataru ya kuunguliwa na vifaa vya umeme. Hapa ninapoandika umekatika na hatujui utarudi saa ngapi, shughuli za kiuchumi zimesimama. Kweli nchi imefunguliwa kila mmojaanapambana ula kwa urefu wa kamba yake. RIP chuma
Basi hamjui mnachofanya!Tunajibu au kutolea ufafanuzi taarifa zilizokamilika tafadhali zingatia hilo
Tafadhali shauri njia bora ya kukuhudumia bila taarifa kamili, tupo kukusikilizaBasi hamjui mnachofanya!
Unaweza kutuma taarifa hata Pm
Tafadhali onesha unalalamikia eneo gani na namba yako ya simu kwa huduma na taarifa zaidi
Huduma kwa Wateja
Shukran kwa kujibu, We are looking forward to seeing you at the site.Tunashukuru kwa taarifa tunaifanyia kazi tafadhali