Tatizo la umeme linamfanya kijana huyu kupoteza 170,000 kila siku

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Wakati mwanasiasa Lucas Mwashamba akiridhika na hali ya upatikanaji wa umeme kwa sababu kazi yake ya uagent wa costa hauhitaji umeme kijana mdogo Sam Junior anapoteza 170000 kila siku kutokana na kukatika umeme.

Kijana huyu anamwaga kuku 20 kila siku.

TRA wamemwambia kodi yao waikute mezani.

 
Ukitaka kufanya biashara inabidi uwe na uwezo mpana wa kufikiri! Yaani unafanya biashara ya kutegemea umeme 💯 bila kuwa na mbadala umeme kama haupo utafanyaje???
Mafanikio katika biashara = akili + busara + nguvu za kiroho.

Sasa huyu mwamba kwenye kipengele cha akili = 0
 
Wakati mwanasiasa Lucas Mwashamba akiridhika na hali ya upatikanaji wa umeme kwa sababu kazi yake ya uagent wa costa hauhitaji umeme[emoji23][emoji23][emoji23] Eeh kumbe...!!!
 
Wewe ndio huna akili. Kwani huo umeme anaupata bure? Hiyo ni huduma anayolipia hayo mambo ya umeme kutokuwepo sio wajibu wake.

Yeye anatakiwa kupata huduma (umeme) kwa kadiri anavyolipia. Endapo asipolipia huo utakuwa uzembe wake lakini sio vinginevyo.
 
Huyo ni mshamba sana, unafanyaje biashara ya samaki, nyama bila kuwa na jenereta?
Huyo asitake huruma kutokana na upumbavu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…