Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tangu IPTL , RICHIMOND , DOWANS , PAP , Gesi ya Mtwara na migawo yote unayoijua , lakini bado tatizo halijaisha .
Huu ni ushaidi wa wazi wa kushindwa kwa ccm kuwasaidia Wananchi .
Nashauri iondolewe Madarakani
View attachment 2757552View attachment 2757555
Kwahiyo tuwaache wateketee ?
DaaaahUmasikini wa Tza ni matokeo ya kafara lililofanyika mapangoni likazaa mwenge.
Ni wachache sana wanaoweza vuka mstari wa limit ya life iliyosetiwa.
Masikini wa namna hii walikuwepo tangu enzi na enzi! Hata kama nchi Masikini, maji ya kunawa miguu hatuna? Nusu kipande cha sabuni cha 200 anashindwa? Tuwe serious CHADEMAKwahiyo tuwaache wateketee ?
Ila juu wamevaa fulana ya ccm !Masikini wa namna hii walikuwepo tangu enzi na enzi! Hata kama nchi Masikini, maji ya kunawa miguu hatuna? Nusu kipande cha sabuni cha 200 anashindwa? Tuwe serious CHADEMA
Hawa watu wameshashindwa kitambo sana sana wamebaki kugawana tu cake ya taifa.Tangu IPTL, RICHIMOND, DOWANS, PAP, Gesi ya Mtwara na migawo yote unayoijua, lakini bado tatizo halijaisha
Huu ni ushaidi wa wazi wa kushindwa kwa ccm kuwasaidia Wananchi.
Nashauri iondolewe Madarakani
View attachment 2757552View attachment 2757555
HeheheSiku hiki chama kikifurushwa hakuna atakayekikumbuka milele
Kwa hiyo hizo picha ndio umemeTangu IPTL, RICHIMOND, DOWANS, PAP, Gesi ya Mtwara na migawo yote unayoijua, lakini bado tatizo halijaisha
Huu ni ushaidi wa wazi wa kushindwa kwa ccm kuwasaidia Wananchi.
Nashauri iondolewe Madarakani
View attachment 2757552View attachment 2757555
Ni za Watanzania waliopata dhiki kutokana na matatizo ya umemeKwa hiyo hizo picha ndio umeme
Kwa hiyo ili kuvunja hilo kafara kitu gani kifanyike?Umasikini wa Tza ni matokeo ya kafara lililofanyika mapangoni likazaa mwenge.
Ni wachache sana wanaoweza vuka mstari wa limit ya life iliyosetiwa.
Wewe ni kichaa mambo yote yapo ovyo bado unasema Tanzania ni imara?Tanzania ya Rais samia ni Imara na Inaendelea kusonga mbele kwa kishindo kikubwa sana.imedhibiti mfumuko wa Bei na ndio maana unaona namna wakenya wanavyomiminika Tanzania kununua bidhaa mbalimbali zikiwepo nishati ya mafuta ,ambapo kwao zinapatikana kwa bei ya juu sana kuwahi kutokea katika Taifa hilo.Hii ndio maana Tanzania kuwa kimbilio la wanyonge wote kutoka ukanda huu wa Afrika mashariki.Tanzania inaendelea pia kuwalisha majirani zetu kama kenya kutokana na Tanzania kuzalisha chakula cha kutosha na kubakiwa na ziada ya kutosha.
CCM itaendelea kuongoza Taifa letu kwa miaka mingi sana ijayo kutokana na ubora wa sera zake zinazogusa maisha ya watanzania.Tofauti na vyama kama CHADEMA ambavyo havina hata uwezo wa kuandaa ilani yake wala mgombea Urais,Safu ya uongozi dhaifu na iliyopoteza matumaini na muelekeo na kubakia na Usaka Tonge Tu kwa ajili ya matumbo yao.
Kwa hiyo hizo picha ndio umeme
Tanzania ya Rais samia ni Imara na Inaendelea kusonga mbele kwa kishindo kikubwa sana.imedhibiti mfumuko wa Bei na ndio maana unaona namna wakenya wanavyomiminika Tanzania kununua bidhaa mbalimbali zikiwepo nishati ya mafuta ,ambapo kwao zinapatikana kwa bei ya juu sana kuwahi kutokea katika Taifa hilo.Hii ndio maana Tanzania kuwa kimbilio la wanyonge wote kutoka ukanda huu wa Afrika mashariki.Tanzania inaendelea pia kuwalisha majirani zetu kama kenya kutokana na Tanzania kuzalisha chakula cha kutosha na kubakiwa na ziada ya kutosha.
CCM itaendelea kuongoza Taifa letu kwa miaka mingi sana ijayo kutokana na ubora wa sera zake zinazogusa maisha ya watanzania.Tofauti na vyama kama CHADEMA ambavyo havina hata uwezo wa kuandaa ilani yake wala mgombea Urais,Safu ya uongozi dhaifu na iliyopoteza matumaini na muelekeo na kubakia na Usaka Tonge Tu kwa ajili ya matumbo yao.
umemaliza kila kituWewe ni kichaa mambo yote yapo ovyo bado unasema Tanzania ni imara?
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Tunaendelea na uchunguzi wetu ili kufahamu kama Mwashambwa ni binadamu au ni mashine inayosetiwa na binadamu .Unaongelea umeme wakati nchi ipo kwenye taharuki ya uhaba wa umeme?
Tunaendelea na uchunguzi wetu ili kufahamu kama Mwashambwa ni binadamu au ni mashine inayosetiwa na binadamu .
Majibu tutaleta hapa hapa