Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

Ikiwemo wewe
Kwa bahati mbaya mimi huongelea kitu ninachokifahamu au nina experience nacho. Siwezi kuelezea nadharia. Kwa upande wangu JF ni sehemu ya kujifunza na kwa mbali kutoa uzoefu wangu. Si pahala pa kupunguza stress au kuburudika.

Katika maisha yangu naamini mimi ni mjinga wa kwanza duniani, hivyo lazima kujifunza kutoka kwa mtoto aliyezaliwa leo mpaka wa miaka 130 (kama yupo); ambaye hakwenda shule mpaka PhD etc. A very good night
 
Kwa bahati mbaya mimi huongelea kitu ninachokifahamu au nina experience nacho. Siwezi kuelezea nadharia. Kwa upande wangu JF ni sehemu ya kujifunza na kwa mbali kutoa uzoefu wangu. Si pahala pa kupunguza stress au kuburudika.

Katika maisha yangu naamini mimi ni mjinga wa kwanza duniani, hivyo lazima kujifunza kutoka kwa mtoto aliyezaliwa leo mpaka wa miaka 130 (kama yupo); ambaye hakwenda shule mpaka PhD etc. A very good night
Sawa learner
 
Umeme wa solar kwa matumizi ya nyumba ya kawaida taa 8 ,tv ,laptop na kuchaji simu bila friji
Ili upate umeme wa uakika unahitaji
Solar zinazoweza kufisha 15 smps changing
5 hours frequently
Ili uweze kupata 5 hours frequently unahitaji solar what 500w mbili ambazo zitafugwa series ili kupata voltage kuanzia 36 ikiwa solar ni ya 18 v
Faida ya voltage kubwa inasaidia jua kidogo unapata amps zankutosha
Cha pili lazima upate mppt solar controller ya v24 to 99 na hii itakuwwzesha kuchaji battery kuanzia voltage drop ya 24 adi full yako ya 36 na kutoa same amps
Ikiwa voltage dtop yako ni kubwa kulingana na jua basi ni vizuri uwe na panel za 200w x5
Unapta voltage 90 so drop yake itakuwa ndogo
Tatu na muhimu sana ni battery
Hapa ndio shina la tatizo
Nakupa mfano tu ikiwa unapata kiasi kikubwa cha mvua lakini uwezo wako wa kuyatunza maji yani tengi dogo maana mvua hata iwe kuwa kiasi gani bado matumizi hayatajitosheleza hivyo unahitaji tangi kubwa
Na kwa fomula hii unatakiwa matumizi ya umeme yawe 40% ya kila siku katika ujazo wa battery
Ikiwa mfumo wa solar zako unaweza kujaza battery zako kwa 100% matumizi yawe ni 40%
Ndipo unakuja na hesabu unahitaji battery ngapi na za watt ngapi
Mimi huwa nashauli battery za n50 x10
Au n100 x5
Faida za n50 x10
Battery huwa zinakufa na kuitaji kubadilisha ikiwa unatumia n50 replacement yake inkuwa aina maumivu sana kama kuwa na battery la n200 na nimekufa
So hapo utakuwa na n500 inatakiwa ifungwe series upate v24
Faida ya voltage 24 ni low current kwenye matumizi
Aina za battery unatakiwa upate lithium battery hapo walau unaweza kudumu zazo
Hizi za kwaida changamoto ni nyingi lakini life time ni kama 2 years
Mwisho inverter ya watt 1200 pure sin wave
 
Hapa ndio umeshauri ?.
Asante kwa comment. Nyaishozi College in Chuo cha CBET na katika CBET tunatoa mafunzo kwa vitendo (training).

tutaishi milele naamini ushauri umeupata mwingi, ila kwa vile sisi ni watu wa vitendo, nakupa gharama ya system ndogo ya solar kwa manunuzi ni USD 917.

Kazi kwako


IMG_3646.JPG
 
This is the dream!

Hongera sana mkuu.

Vitu vyote hivyo vinapatikana hapa TZ locally au ilibidi uagize nje?

Unaweza kushare bei ya panel 1, inverter 1 na hilo battery?
Kwa sasa, wenzetu wametengeneza system ambayo haisumbui kufunga ina Inverter na batteries humo humo! Unapachika tu Solar Panels basi unaendelea. Mfano hii hapa

Screenshot 2025-03-06 at 09.57.57.png

Screenshot 2025-03-06 at 09.58.12.png
 
Back
Top Bottom