Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Nasikia Vumbi la congo linafaa!
Namshukuru sana Mungu sijawahi kunjia nywele za kwapa na hata nikinyoa ndevu kwa chupa sitoki vipele
 
Ukinyoa ndevu zako husinyoe zote acha Kwa mbali vishina vipele vitaisha vyote. Otherwise kama ndio unapenda kipala kabisa Dawa nzuri ni neomedal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaponyoa ndevu tumia mashine yenye wembe mkali,seti vizuri wembe huo na unaponyoa ndevu zako fuata mashina ya ndevu yanapoelekea na usikandamize mashine pia haitakiwi usikie maumivu wakati wa kunyoa ndevu.Usinyoe kwa kuiforce mashine "rafu" haitakiwi,nyoa taratiibu na kwa uangalifu na baada ya hapo paka spirit na utasikia ubaridi badala ya maumivu.......hapo ujue umenyoa vizuri na hautapata upele lakini ukiona maumivu wakat wa kupaka spiriti ujue hukufuata maelekezo niliyokupa na hapo upele lazima ukutoke.Waweza kujikanda na maji yamoto yaliyo safi kabisa baada ya kunyoa ndevu na baada Ya hapo paka spirit,aftershave au poda kutokana na uhitaji wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shaving lotion zote zinapiga hii kitu,na vizuri uanze na aftershave then utumie hiyo shaving cream,ONYO kwa sehemu za siri hiyo after shave sina uhakika kama inakubalika kiafya kuitumia,kwani ina alcohol kwahiyo ujiandae kwa maumivu wakati ikifanya kazi,hasa kama utaweka nyingi na kuifanya iporomoke kuelekea chini...
Ungeweka majina ya products ungekua umetusaidia sana
 
Pole sana ndugu yangu. Hilo tatizo si la peke yako, Hata mimi nilipata taabu hiyo.
Kwanza niligundua vipele vinatokana na nyuwele kutopata chance ya kutoka nje, Yaani inakulia ndani ya ngozi, halafu infection.
Sasa dawa amabayo nina uhakika, na imenisaidia inaitwa BUMP STOPPER, Kuna aina mbili, mmoja ni kali, BUMP STOPPERS-2 ukipata hiyo anza na hiyo,
kwanza wacha ndevu siote kwa siku kama nne au tano, yaani ngozi ipumzike, basi ukisha nyoa tu, apply hiyo cream, na utumia kila siku. siku za mwanzo kila unapo oga, uvimbe ukisha potea unaweza tumia kila asubuhi unapoteka bafuni.

Hii cream sio kwamba inatibu mmoja kwa mmoja bali inabidi utumie kila unapo shave.
Sasa tatizo kubwa ni sijui kama inapatikana Tanzania,
Mkuu naomba uweke picha ya iyo dawa, hili ni janga kwangu.
 
Mkuu naomba uweke picha ya iyo dawa, hili ni janga kwangu.
Dah ni mda sijaitumia hiyo dawa, kwa sasa Nina tumia aina nyingi ya majimaji na ni ya kupulizia.
Lakini ingia kwenye Google na uandike hilo jina utaona picha zake. Na hapa nikifanikiwa Nitakutumia. Ukipata hiyo dawa ninauhakika itakupinyesha.
 
Kuna hii inaitwa Calmurid cream, sina uhakika na availability yake hapo bongo lakini is effective na resuls is just in a day or two, lakini unatakiwa kuendelea kuitumia kama utaendelea kunyolea wembe!
ndio hii mkuu nimeiona online unaweza order kama una visa au mastercarxd katika ATM card yako
large_252468.jpg
 
Habari wakuu, naomba msaada nitumie dawa gani ya kuzuia mapele ya ndevu wakati wakunyoa
before nikinyoa nilikua sitoki mapele now mapele yanatoka tena yanauma, nawasilisha.
 
1. Tumia Magic powder kutolea,

2. Nunua mashine yako uwe unanyolea kama hua unaenda saluni lakini pia paka poda wakati unaanza kunyoa na ukimaliza kunyoa na kujisafisha paka mafuta ya nazi asilia.

3. Nyoa ndevu kutoka kwenye maoteo kufatisha zinapoelekea usinyoe kinyume chake.

Good Luck.
 
1. Tumia Magic powder kutolea,

2. Nunua mashine yako uwe unanyolea kama hua unaenda saluni lakini pia paka poda wakati unaanza kunyoa na ukimaliza kunyoa na kujisafisha paka mafuta ya nazi asilia.

3. Nyoa ndevu kutoka kwenye maoteo kufatisha zinapoelekea usinyoe kinyume chake.

Good Luck.
shukrani sana
 
Hatua ya kwanza kanyoe saluni kwa kutumia magic then ukihisi ndevu zinachomoza nyoa kwa kupaka shaving cream tumia shaver then paka after shave fanya hivyo kila unapohisi ndevu zinaanza kuchomoza usisubiri ndevu zikue
 
Back
Top Bottom