Pole sana ndugu yangu. Hilo tatizo si la peke yako, Hata mimi nilipata taabu hiyo.
Kwanza niligundua vipele vinatokana na nyuwele kutopata chance ya kutoka nje, Yaani inakulia ndani ya ngozi, halafu infection.
Sasa dawa amabayo nina uhakika, na imenisaidia inaitwa BUMP STOPPER, Kuna aina mbili, mmoja ni kali, BUMP STOPPERS-2 ukipata hiyo anza na hiyo,
kwanza wacha ndevu siote kwa siku kama nne au tano, yaani ngozi ipumzike, basi ukisha nyoa tu, apply hiyo cream, na utumia kila siku. siku za mwanzo kila unapo oga, uvimbe ukisha potea unaweza tumia kila asubuhi unapoteka bafuni.
Hii cream sio kwamba inatibu mmoja kwa mmoja bali inabidi utumie kila unapo shave.
Sasa tatizo kubwa ni sijui kama inapatikana Tanzania,