Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Nasikia Vumbi la congo linafaa!
Namshukuru sana Mungu sijawahi kunjia nywele za kwapa na hata nikinyoa ndevu kwa chupa sitoki vipele
 
Ukinyoa ndevu zako husinyoe zote acha Kwa mbali vishina vipele vitaisha vyote. Otherwise kama ndio unapenda kipala kabisa Dawa nzuri ni neomedal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaponyoa ndevu tumia mashine yenye wembe mkali,seti vizuri wembe huo na unaponyoa ndevu zako fuata mashina ya ndevu yanapoelekea na usikandamize mashine pia haitakiwi usikie maumivu wakati wa kunyoa ndevu.Usinyoe kwa kuiforce mashine "rafu" haitakiwi,nyoa taratiibu na kwa uangalifu na baada ya hapo paka spirit na utasikia ubaridi badala ya maumivu.......hapo ujue umenyoa vizuri na hautapata upele lakini ukiona maumivu wakat wa kupaka spiriti ujue hukufuata maelekezo niliyokupa na hapo upele lazima ukutoke.Waweza kujikanda na maji yamoto yaliyo safi kabisa baada ya kunyoa ndevu na baada Ya hapo paka spirit,aftershave au poda kutokana na uhitaji wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeweka majina ya products ungekua umetusaidia sana
 
Mkuu naomba uweke picha ya iyo dawa, hili ni janga kwangu.
 
Mkuu naomba uweke picha ya iyo dawa, hili ni janga kwangu.
Dah ni mda sijaitumia hiyo dawa, kwa sasa Nina tumia aina nyingi ya majimaji na ni ya kupulizia.
Lakini ingia kwenye Google na uandike hilo jina utaona picha zake. Na hapa nikifanikiwa Nitakutumia. Ukipata hiyo dawa ninauhakika itakupinyesha.
 
Kuna hii inaitwa Calmurid cream, sina uhakika na availability yake hapo bongo lakini is effective na resuls is just in a day or two, lakini unatakiwa kuendelea kuitumia kama utaendelea kunyolea wembe!
ndio hii mkuu nimeiona online unaweza order kama una visa au mastercarxd katika ATM card yako
 
Habari wakuu, naomba msaada nitumie dawa gani ya kuzuia mapele ya ndevu wakati wakunyoa
before nikinyoa nilikua sitoki mapele now mapele yanatoka tena yanauma, nawasilisha.
 
1. Tumia Magic powder kutolea,

2. Nunua mashine yako uwe unanyolea kama hua unaenda saluni lakini pia paka poda wakati unaanza kunyoa na ukimaliza kunyoa na kujisafisha paka mafuta ya nazi asilia.

3. Nyoa ndevu kutoka kwenye maoteo kufatisha zinapoelekea usinyoe kinyume chake.

Good Luck.
 
shukrani sana
 
Hatua ya kwanza kanyoe saluni kwa kutumia magic then ukihisi ndevu zinachomoza nyoa kwa kupaka shaving cream tumia shaver then paka after shave fanya hivyo kila unapohisi ndevu zinaanza kuchomoza usisubiri ndevu zikue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…