Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Wadau mambo vipi , ? Kidevu changu naona kinakomaa na kinatoaa vipelee, nanyoaa kwa wiki mara mojaa, nitumiee mafuta gani kulainishaaa, ? nina miaka 24, aaf mweupee, kidevu kinaharibu mwonekano wangu! Msaada wa USHAURI tafadhari.
Nenda soloon waambie wakunyoe kwa kutumia magic...
 
Tatizo unataka kunyoa ndevu zote ili uonekane mtoto.
Ukitaka kuondokana na adha hiyo anza kuzipenda ndevu zako balada ya kuzichukia. Hii inaitwa kugeuza changamoto kuwa fursa.
Nenda saloon na uanze kuchonga ndevu zako na usinyoe zote, hii licha ya kukupa muonekano lkn pia itakufanya usiwe unanyoa ndevu mara kwa mara. Au wewe ni polisi?
 
Wadau mambo vipi , ? Kidevu changu naona kinakomaa na kinatoaa vipelee, nanyoaa kwa wiki mara mojaa, nitumiee mafuta gani kulainishaaa, ? nina miaka 24, aaf mweupee, kidevu kinaharibu mwonekano wangu! Msaada wa USHAURI tafadhari.
PAKAA MAFUTA YA MCHAICHAI(ORGANIC LEMON GRASS OIL)
 
PakaTE="ms2016,transfoma0nyambafuember: 392415"]Wadau mambo vipi , ? Kidevu changu naona kinakomaa na kinatoaa vipelee, nanyoaa kwa wiki mara mojaa, nitumiee mafuta gani kulainishaaa, ? nina miaka 24, aaf mweupee, kidevu kinaharibu mwonekano wangu! Msaada wa USHAURI tafadhari.[/QUOTE]
Paka mafuta ya transfoma nyambafu.
 
Nyoa kila baada ya siku moja au mbili. Zaidi ya hapo unatafuta majanga hasa kwa ndevu za kimatumbi. Ndevu za kimatumbi zinatabia kujikunja wakati wa kuota na kuichoma ngozi na kusababisha ngozi kuota vipele.
 
Duu mwanaume alafu unataka kidevu kilainike? Haya bwana
 
Back
Top Bottom