KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Nunua shaving machine
utakayotumia peke yako ni bei rahis sana, pale game zipo hadi za sh.13,
000/= hapo hapo nakushauri kama upo dar nenda kariakoo tafuta dawa ya
asili inaitwa SHABU uwe unajipaka kwa muda ili kusafisha ngozi yako ya
kidevu, na kukausha hayo mapele
Hivi hiyo dawa ipo na mikoani?