ugali wa mtama
Pia kisaikolojia uwe safi kwani kila kitu kinawezekana
hali mbaya nini?
kaka fafanua vzur
m2 wngu hali mbay mana naona cku hz bao 2 nmechoka et
Nimekubaliana na hivyo vyakula walivyokushauri wadau hivyo nikaongezea pia uwe vizuri kisaikojia kwani unaweza ukapata msosi mzuri unaotakiwa lakini kama kisaikolojia utakuwa disturbed utashangaa hali haibadiliki. Si unajua mwili unaendeshwa na gland mbalimbali ambazo zinasaidia kutoa vitu ambavyo vinasaidia ku-speed up utendaji kazi wa vitu mbalimbali mwilini, hivyo hutokuwa vizuri kisaikolojia maana yake hizi gland hazitatoa vichocheo muhimu. (sio mtaalamu wa haya mambo ila hii hali pia wakati mwingine inachangia)
Tatizo linaweza lisiwe tu katika upande wako mkuu, muda mwingine ushirikiano mbovu unaopewa na mpenzi wako unameza ukakufanya usiwe na hamu ya kuendelea
Halafu ukawa na mawazo wenda unatatizo la upungufu wa nguvu au mambo mengine kama hayo, kumbe hapana.
Nakushauri utafute kwanza chanzo cha kuwa na hiyo hali, ukikigundua ndio hatua zingine zifuate.
............ na akienda chooni lazima awe .......:tape2:, (au hukumaanisha mtama mwekundu!!!!! [Kongosho]
Karanga mbichi, korosho, maziwa fresh na mtindi jaribu mkuu utaona mabadiliko
....na mazoezi pia...
ndio huo mtama mwenkundu.
Na akihangaika kwenda choo ndio nguvu zinakuwa nyingi maana presha yooote inaelekea Front View.
guyz naomba mnitajie vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume