malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Matapeli tu usiende dawa zao zinaanzia laki3 nakuendelea nahakuna matokeo
Hiyo nusu dose.Na hili ndo linakatisha tamaa! 300k.
Hiyo nusu dose.
Hahahha!! Lkn nmekuja kugundua big problems ni psychology tuu!! How we set our mind!! Kabisaaa otherwise nooo
Huyu papa unamchoma au mbichi?simpo mkuu
tumia kipande cha samaki aina ya papa na kitunguu maji kwa kutafuna nguvu zitarejea kwa kasi sana
Wanawake hawa wa kienyeji balaa. kitu imemea sugu, balaa wasugu lisaa limoja mtu akuangalia kama hujafanya lolotePole sana aisee dakika moja chali na wanawake wenyewe siku hizi tuna nguvu nyingii[emoji23][emoji23]
Fanya mazoezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauwezi kutosheleza mtu.GODZILLA, [emoji23][emoji23]
Sex is a two way thing. Ukijijali wewe tu utakuwa selfish ingawa bado umesema ukweli. Sex is overrated sana
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona kapotea?