Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 489
- 386
Kwani wewe wapenda vya Bure? Just callHiyo tiba Unauza au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe wapenda vya Bure? Just callHiyo tiba Unauza au?
Sio kuacha nyama,samaki na maharage pekee pia wali ,ugali,chai chapati,bajia vitumbua ndizi mbivu .Habari za jumapili wana jukwaa wote.
Naomba niende MOJA kwa MOJA kwenye mada, Nina ndugu yangu anasumbuliwa Sana na Uric Acid.
Ni mwezi sasa amekuwa wa kukaa na kulala tu uku akilalamika maumivu makali anayoyapata kwenye Maungio ya mwili wake.
Ameshakwenda hospitali na kufanyiwa vipimo NDIO akaambiwa ana Uric Acid, Amepatiwa dawa za mwezi mzima na zinaisha tarehe 6 mwezi wa pili. Lakini mpaka Leo hii ni kama hakuna afadhri toka ameanza matumizi ya dawa hizi.
Pamoja na dawa pia kuna vyakula ametakiwa kuacha kuvitumia Mara MOJA kama Samaki, Nyama, maharage n.k amefanya hvyo na sasa anatumia mboga za majani na mrenda pekee lakini bado maumivu ni pale pale.
Naleta kwenu tatizo ili niweze kupata msaada wa
Nini tufanye, Dawa na hata matibabu yoyote ambayo yataweza kumponyesha.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu
Nawasilisha
Sasa alikuwa anakula nini?Sio kuacha nyama,samaki na maharage pekee pia wali ,ugali,chai chapati,bajia vitumbua ndizi mbivu .
Kuna jamaa alimponya mama yangu mkubwa hiyo kitu. Ngoja nijaribu kumtafuta kesho nikimpata hewani nitakutumia mawasiliano yake atamsaidia
Anakula mboga za majani na matunda na majiSasa alikuwa anakula nini?