Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,008
- Thread starter
- #41
Saa 9 au 10unawahi kuamka saa ngapi
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa 9 au 10unawahi kuamka saa ngapi
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
ndio vizuri jizoeshe...unalala saa 3/4 unaamka saa 12 au saa 1 ndio muda mzuri au majukum yako ni yapi..yanahitaji kudamka mapemaSaa 9 au 10
Kwa sasa sifanyi kazi ndo kwanza nimemaliza mwaka wa kwanza wa masters yangundio vizuri jizoeshe...unalala saa 3/4 unaamka saa 12 au saa 1 ndio muda mzuri au majukum yako ni yapi..yanahitaji kudamka mapema
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
anhaa kumbe basi jaribu kuset muda vizuri..upate usingizi wa kutoshaKwa sasa sifanyi kazi ndo kwanza nimemaliza mwaka wa kwanza wa masters yangu
Sawa nitajitahidianhaa kumbe basi jaribu kuset muda vizuri..upate usingizi wa kutosha
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
ni vyema aiseeSawa nitajitahidi
Thanksni vyema aisee
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Mamboz!
Kuna kipindi nilikuwa nakosa usingizi naweza kulala sa 7 nikaamka saa 12 ila kwa sasa nimekuwa ni mtu wa kulala sana na kila muda nasikia usingizi.....
Je,hili ni tatizo au hali ya kawaida?
Okaypoa bibie
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Hivo vyote hapo sina ila cha kushangaza ndo usingizi nausikia kila muda
La kukosa kulala limeshaisha......sasa hivi napenda kulala....labda uliumwa na Mbung'o wakakupa ugonjwa wa kusikia kulala kila dakika. Wahi hospitali lakini uwe mwangalifu wasikupe dawa za kukufanya ushindwe kulala kabisa. Hili la kukosa kulala kwa kutokuwa na usingizi ni tatizo kubwa sana kuliko hili la kutaka kulala kila saa.
Kumbe tupo wengihauko peke yako dada mi mwenyewe ninalo hilo tatizo hasa nikiwa peke yangu huwa ndo ugonjwa wangu hasa. na pia saizi mchana napenda sana kulala sijui kwa nini. ila nilikuja kugundua ni mazingira tu ndo yana changia mda mwingine. ila zamani siwezi lala bila kunywa hata ki**ba ila saizi aaaa nimeokoka na usingizi uko japo ugonjwa una rudigi same time
Kama mimi ni ccm ndo inasababisha nilale sanaJe wewe ni Ccm?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Je wewe ni Ccm?
Kama mimi ni ccm ndo inasababisha nilale sana
Jibu swali[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]