sintah
Senior Member
- Aug 18, 2013
- 187
- 190
Jamani hii imeshakuwa shida sasamwaka jana nlikuwa njombe kikazi babyto akasema anataka kuja wakati wa pasaka nkamruhusu lakini alivyokuja uumr wake ulismama ile siku ya kwanza tuu siku zilizofata ikawa unasmama lakini auna nguvu yaan hata haiwezi kuingia tatizo hilohilo nimekutana nalo nikiwa mafinga sasa nikaona tatizo itakuwa baridi lakini naomba mnijuze kwanza wanajamvi