Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili


Asante ameline
 
mashine iko vyema kijana... cha msing inasimama popote itapenya...
 

ha ha ha oh mama i learn a lot thanks God to have u
 
mkuu kama unasimama na unafanya kazi kama kawaida basi ondoa shaka hiyo haina shida yoyote
 

ila unapga kazi
 
mbona mingi imeenda upande........... lakini hata ukichungulia kwenye suruali zao unaona au wakitoka kuoga wamejifunga taulo hehehehehehe..... jaribu kuchungulia wenzio uone ni kwawida sana

miss chaga ushaanza, umejuaje mingi imeenda upande?
 
Pole sana mkuu.
Huo Mdushee wako utakua umeteguka. Wahi MOI haraka wakaufunge POP kabla haujakatika kabisa.
 
Jamani naombeni msaada wenu, nina UUME yenye nchi 7.6 na ikisimama wima inapinda kuelekea kushoto, kila nikifanya mapenzi akina dada wanalalamika kusikia maumivu. Jamani nifanyeje
 
una 7.6 halafu bado unauita uume?!..khaa hapana bhana unakosea..sema una SMG mpyaaaaaaaaa unaifanyia matangazo hapa!....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…