Tatizo la uume kusimama kila mara naomba msaada

mwanaume kwa siku lazima asimamishe mara kadhaa, hata bila sexual stimulus yoyote..
 
mm ninavyojua mm uume kwa kawaida uwa unasimama kwa sana asubuhi au muda umelala...mchana usimama na kukaa bila kujishughulisha...upo upo tu...ila ni vizuri inakuwa akili ya kutafuta pesa...
 
Hahahahahaaaaa,pole sana,usimamishe uangalie juu then ufunge na mkanda wa suruali na uchomoe shati nje.....
 

Dawa ya hiyo kitu ni mwanamke na sio vinginevyo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…