Tatizo la uume kusinyaa baada ya kuvaa kondom limekua sugu

Tatizo la uume kusinyaa baada ya kuvaa kondom limekua sugu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Wanaume wengi wanalalamika sana mtu unapata shoo na unaingia gesti ili unachezea mtoto na ngoma inasimama ile unavaaa kondomu ngoma inasinyaa.

Hili limekuwa tatizo kubwa sana.

Hizi kondomu za siku hizi zina matatizo?
 
Wanaume wengi wanalalamika sana mtu unapata shoo na unaingia gesti ili unachezea mtoto na ngoma inasimama ile unavaaa kondomu ngoma inasinyaa.

Hili limekuwa tatizo kubwa sana.

Hizi kondomu za siku hizi zina matatizo?
Labda zile za bei chee au zile za bure... hizi kuanzia rough rider kwenda mbele ni utamu mwanzo mwisho
 
😂😂😂 Jombaa kondomu zako unanunuaga wapi?
 
Wanaume wengi wanalalamika sana mtu unapata shoo na unaingia gesti ili unachezea mtoto na ngoma inasimama ile unavaaa kondomu ngoma inasinyaa.

Hili limekuwa tatizo kubwa sana.

Hizi kondomu za siku hizi zina matatizo?
Kemea pepo..hilo ni pepo la kifo linakuandama.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wanaume wengi wanalalamika sana mtu unapata shoo na unaingia gesti ili unachezea mtoto na ngoma inasimama ile unavaaa kondomu ngoma inasinyaa.

Hili limekuwa tatizo kubwa sana.

Hizi kondomu za siku hizi zina matatizo?
Cheki saizi ya condom. Kama inabana mno lazima ngoma ikatae. Jaribu king size
 
Kama Kuna ukwel flan iv ,ilishanikuta hii nili jikuta nampoteza ndege wangu baada ya kupanga nae show for 4 yrs
 
Mmh, sidhani aisee labda kuna tatizo mahali mkuu

Yani uko na njaa na kitendo cha kuchukua kijiko ule ili usitumie mkono unajikuta mzuka wa kula umekata???...... kuna tatizo mkuu
 
Back
Top Bottom