Jitahidi ule matunda na mbegu zinazo boost hamu ya ngono, mboga za majani , wadudu wa baharini/ziwani, maji ya kutosha na ufanye mazoezi ya tumbo kwa wingi. Kutafuta pumzi kimbia .Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.
Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.
Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
Okay, nashukuru mkuu ntafanyia kaziJitahidi ule matunda na mbegu zinazo boost hamu ya ngono, mboga za majani , wadudu wa baharini/ziwani, maji ya kutosha na ufanye mazoezi ya tumbo kwa wingi. Kutafuta pumzi kimbia .
Sikushauri kabisa ule karanga mbichi maana utakojoa hata kabla haijaingia
Wewe endelea kuwa padri acha kumdanganya mwenzako. Hivi kuna kitu kingine kitamu zaidi ya mapenzi?Oya achana na hayo maswala wewe fanya mambo mengine. Si lazima kufanya mapenzi so usihangaike utatapeliwa bure kujaribu ku fix hiyo issue.
Pole mkuu wazazi wako wangeligundua mapema ungekuwa umeshapona kwa ile tiba asiliTatizo hili likuwepo tangu mwanzo.Nimekuja kuligundua tangu wakati wa balehe nikiwa na miaka 16.
Mimi siezi jua, labda tujaribu mimi na wewe kisha hapo ndio nitajua kama ni matamu au la.Wewe endelea kuwa padri acha kumdanganya mwenzako. Hivi kuna kitu kingine kitamu zaidi ya mapenzi?
Njoo tupeane utamu mamaPole mkuu wazazi wako wangeligundua mapema ungekuwa umeshapona kwa ile tiba asili
Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.
Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.
Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
wachaga na wapare watakumwagia likes mkuuIkiwa flaccid inakuwa na urefu kiasi gani?
Ikiwa erect inakuwa na urefu kiasi gani?
Haya mambo yanafanya mtu akose self confidence, hasa akikutana na wataalam wa kunyanyapaa.