dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Neema hiyo , Gono na UKIMWI utausikia kwa jirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo bado haujawahi kufanya??Mimi siezi jua, labda tujaribu mimi na wewe kisha hapo ndio nitajua kama ni matamu au la.
Me naamin pesa ni tam kuliko mapenzi, atafute hela tu.Wewe endelea kuwa padri acha kumdanganya mwenzako. Hivi kuna kitu kingine kitamu zaidi ya mapenzi?
Tumsaidie kwanza mtoa mada apone na yeye ainjoy mautamu.Njoo tupeane utamu mama
sawaNi sawa lakini siwezi kuwa na furaha kamwe, kwani siwezi kuwa na familia kama wengine lakini pia nakosa kujiamini kama mwanaume.
Sema ukweli usaidike, si unajua mficha uchi hazai?Sijawai piga nyeto kwenye maisha yangu
Mungu akufanyie wepesiWamelifahamu nikiwa na miaka 19 nilipowashirikisha, na mpaka sasa tunahangaika mpaka hospitalini lakini sijapona bado
Bado, unataka unianzishie mama la mama?Kwahiyo bado haujawahi kufanya??
Wanasemaje hao ma dokta?Kwa madaktari nmeenda sana lakini sijabahatika kupona
Umewai piga masterbation kwa mda mrefu?Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.
Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.
Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
Pole dogo.Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.
Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.
Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
Tuwaachie kaziWanasemaje hao ma dokta?
Uwaachie kazi gani na unaona kazi ya mtoa mada imewashinda?Tuwaachie kazi
Wee haujawahi kupewa utamu vizuri wewe. Hizo pesa zenyewe zinatafutwa kwa bidii ili mtu apewe utamu mpaka achanganyikiweMe naamin pesa ni tam kuliko mapenzi, atafute hela tu.
Kazania hapo hapo mkuu, tafuta specialists, achana na makando kandoKwa madaktari nmeenda sana lakini sijabahatika kupona
Mimi nimeshakubuhu nitakuua bure. Tafuta chipukizi kwanza ukishagraduate ndio uje.Bado, unataka unianzishie mama la mama?