greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Bora mwendazake alijua kuwa hajawaajiri lakini aliwaruhusu machinga kufanya biashara kuliko huyo bi kidude kuwanyang'anya hiyo ajira ndogo waliyokuwa wameipataHalafu utasikia jobless waliozuiliwa ajira awamu ya tano wakakimbilia umachinga bado wanamsifu mwendazake
Kwani amesema uongo? Jpm alikuwa hajali kabisa ustawi wa watu. Aliondoa utaratibu mzuri alioweka jk wa kuajiri kila mwaka walimu wote. Akaleta utaratibu wake wa kudokoa Mara elfu tano nchi nzima. Jk alikuwaa anaajiri wote labda ukatae mwenyewe ajira
Aliye kuja kukazia kuiharibu hii nchi na watanzania ni magufuli baada ya kuleta siasa zake za uongo na unafiki kwa wananchi aliwazoesha kuwaimbia mapambio ya uongo na ulaghai na wananchi kwa vile wengi wao uwezo wa reasoning ni mdogo sana waka danganyika kweli kweliYaani sielewi sisi watanzania ni generation ya kizazi cha nabii nani huko nyuma? Lipeni kodi hatutaki (tunalalamika); inakusanya kwa tozo in a very polite compliance (hatutaki tunalalamika); serikali inakopa basi Ili mambo yaende (hatutaki tunalalamika).
Tuna matatizo manne
1. Uhaba wa Madarasa
2. Uhaba wa walimu
3. Uhaba wa vifaa vya kufundishia
Serikali inatatua tatizo moja Kati ya hayo, tunalalamika!! What a crazy society ever seen under the sun!
Kwani wamachinga wamezuiwa kufanya biashara? Msiwe waongo uharibifu wa wamachinga ulivuka mipaka lazima wapangwe muache ujingaBora mwendazake alijua kuwa hajawaajiri lakini aliwaruhusu machinga kufanya biashara kuliko huyo bi kidude kuwanyang'anya hiyo ajira ndogo waliyokuwa wameipata
Lakini wasi wasi wangu upo upande wa walimu? Je wanatosha kuweza kumudu idadi kubwa ya wanafunzi hao waliochaguliwa maelfu kwa maelfu tofauti na miaka mingine yote nchini?
Upo sahihi. Ukisoma comments za watanzania kwenye mitandao unashangaa sana? How comes vitu simple kuvielewa lakini wao huamini kwa namna tofauti. Imagine mtu anaamini kabisa kwamba Magufuli aliongoza nchi solely kwa kutumia mapato ya ndani bila kukopa fedha yoyote??? Tungekuwa na society ya ajabu sana kama JPM angetawala kwa miaka hiyo iliyokuwa ikisemwa na akina Ndugai.Aliye kuja kukazia kuiharibu hii nchi na watanzania ni magufuli baada ya kuleta siasa zake za uongo na unafiki kwa wananchi aliwazoesha kuwaimbia mapambio ya uongo na ulaghai na wananchi kwa vile wengi wao uwezo wa reasoning ni mdogo sana waka danganyika kweli kweli
Tuko awamu ya sita,, hayo sisi hatujuiKuna mpuuzi mmoja alijikabidhi majukumu kwa wizi wa kura hakuajiri kabisa miaka mitano madarakani Wala hukutoa nyongeza ya mishahara lkn alipunguza watumishi kwa kisingizio Cha vyeti feki.
Inaonekana unastress maana sio kwa uongo huu.Kuna mpuuzi mmoja alijikabidhi majukumu kwa wizi wa kura hakuajiri kabisa miaka mitano madarakani Wala hukutoa nyongeza ya mishahara lkn alipunguza watumishi kwa kisingizio Cha vyeti feki.
Hata walimu wakitosha utatafuta penye shida na shida hazijawahi kuisha. Kuna nyumba zao,vyoo,huduma like maji,umeme,maslahi,chakula,vifaa vya kufundishia,watoto wawe wa kufundishia,yaani huwezi ondoa kabisa kero ikaisha never in human history hata mbinguni shetani hakuridhika na ukuu wa malaika.Igweeeeee
Awali nianze kwa kuipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu kwa kuhakikisha changamoto ya madarasa kwa shule zote za sekondari hapa nchi kubaki historia ifikapo tarehe 17 january 2022 siku shule zote zitakapofunguliwa.
Lakini wasi wasi wangu upo upande wa walimu? Je wanatosha kuweza kumudu idadi kubwa ya wanafunzi hao waliochaguliwa maelfu kwa maelfu tofauti na miaka mingine yote nchini?
Ifike muda sasa, kama serikali ilivyoamua kulisimamia swala la upungufu wa madarasa vivyo hivyo ilivalie njuga hili swala la walimu.
Serikali ihakikishe shule zote hizo zinawalimu wa kutosha masomo yote!
Happy New Year 2022
Ni kweli. Ila hatuwezi kusema yameisha.Muwe na shukrani wandugu , kwa nchi kubwa kama tanzania ambayo wananchi wake wanazaliana kama sungura huwezi kumaliza matatizo yote ila yanapo punguzwa tunashukuru
Darasa moja linaweza kugeuzwa ofisi ya walimu