Tatizo la Waislamu ni kwamba dini yao ni nzuri lakini hawaifuati

Tatizo la Waislamu ni kwamba dini yao ni nzuri lakini hawaifuati

Baba yako kuwa shekhe wa kata haimaanishi amesoma au kaka yako kuwa shekhe wa wilaya haimaanishi ni mtu wa kutegemewa kwenye uislamu, hii ni ishara kuwa ninyi mpo kwenye payroll na mara nyingi hawa mashekhe wa kata na wilaya hata kusoma Qu'ran hawajui na huwa hawaswali hata swala 5.

Kwa ufupi, unatoa wapi guts za kusema waislamu ndio wanaongoza kwa unafiki wakati wamekitukuza kile walichoamrishwa kukitukuza? I bet hujui hata kusoma suuratul faatihah.

Mwamuzi wa Tanzania
Waislamu wengi ni wajinga na wachawi, wazee wa kufuga majini
 
Nasikitika kwa padre wa White Fathers kutekwa nchini Nigeria. Lakini, we must not take it personally. Kule Nigeria utekaji nyara watu ni national pastime. Ni hobby.

Lakini Mwislamu anaonyesha kukosa imani na dini na kwa hiyo haifuati.

Always lazima utofautishe kati ya Mwislamu na dini ya Kiislamu. Haya maadili yote utayaona katika Vitabu vyao,lakini hawayafuati.

Sasa,nimeandika haya mambo, sijui jambo litatokea. Labda nitasomewa Al Badiri.

Of course, hata mtu akiwa Mkristu, au dini nyingine, usidhani kwamba anafuata maagizo yote ya dini yake. Lakini tatizo hili kwa Waislamu linajitokeza sana.

Uislamu unaieleza dini kwa ufasaha, so much so that Wakristu ambao hawana Brain
Power, wanaipendelea dini ya Kiislamu .

Lakini Waislamu hawaifuati dini yao,kwa kukosa Imani na dini yao.
Huu ni ukweli usiopingika,
Tatizo la wa vaa kobaz wanajivunia sana dini yao kuliko ku iishi.
 
Kweli kabisa, Dini hii ni ngumu sana kutekelezeka. Wala tusidanganyane kwenye hilo..asilimia kubwa sana ya wanaojiita wa dini hiyo hawatekelezi Chochote. Maana kiuhalisia ni ngumu sana
 
Mtu mwenye akili kama zako akiwa mkisto nahama dini. Wewe hujioni kuwa unafaa kuwa mfuasi wa mudi?
Kwamba mimi sifananii kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement iliyochanganywa na kokoto kama huyo mtumishi mwenzetu?
downloadfile.png
 
Ukiona mtu ana imani na hicho kitabu cha mudi jua hana akili timamu
Quran 6:125 inasema mtu akiwa anapaa kwenda juu,kifua hubana kwa kukosa pumzi,hii ni 600AD,hakuna ndege wala mtu aliyepaa, lakini muhammad asiyejua kusoma na kuandika alilijua hili,tuache kuamini Quran tuamini kitabu kinachosema Mungu alipigwa ngwara na yakobo akabloo!?
 
Hivi kwa nini Waislamu huwa hamna akili na wengi wenu ni masikini na wachawi? Au hiyo elimu ahera inawapumbaza akili?
Kuna sehemu pana uchawi kuzidi sumbawanga,mbeya, usukumani!?..unawazidi waislam kwa utajiri!?..hizi ndiyo akili!?
 

Attachments

  • FB_IMG_1727106260795.jpg
    FB_IMG_1727106260795.jpg
    36.6 KB · Views: 1
Quran 6:125 inasema mtu akiwa anapaa kwenda juu,kifua hubana kwa kukosa pumzi,hii ni 600AD,hakuna ndege wala mtu aliyepaa, lakini muhammad asiyejua kusoma na kuandika alilijua hili,tuache kuamini Quran tuamini kitabu kinachosema Mungu alipigwa ngwara na yakobo akabloo!?
Kama kweli vileee! Ila sasa maeneo mengine mhhh....kwamba ukifanya mema Dunia unaenda kutesa na Yale ambayo ni dhambi Duniani.


Mito ya pombe
Wanawake bikraaaa 72 (wako tu)🥴
 
Kama kweli vileee! Ila sasa maeneo mengine mhhh....kwamba ukifanya mema Dunia unaenda kutesa na Yale ambayo ni dhambi Duniani.


Mito ya pombe
Wanawake bikraaaa 72 (wako tu)🥴
Dhambi(kosa) ni duniani,mbinguni hakuna dhambi
 
Back
Top Bottom