Tatizo la Waislamu ni kwamba dini yao ni nzuri lakini hawaifuati

Tatizo la Waislamu ni kwamba dini yao ni nzuri lakini hawaifuati

Waislamu wengi, bila kujua lengo haswa la mtoa mada, watakuja mbio hapa na kutolewa kwenye mstari. Lengo lake ni Moja kama ilivyo kwa wenzake wengi, kuwaghadhibisha (provoke) Ili mukasirike, Hana kingine huyo na Wala Hana hoja. Ni mnafiki tu NAMBARI MOJA atayepindisha ukweli kuwa kwa Tanzania hii, ustaarabu na amani kuu vipo mikoa yenye Waislamu wengi.

Huko kwingine Kila aina ya ushirikina na mambo ya ajabu ajabu yapo mpaka kesho. Kuna maeneo wazee wanatoa kafara wageni (mwalimu aliuawa kama kafara Kijiji flani Tanzania hii....majuzi tu). Watu wanafuga mafisi n.k. Ni ushirikina mwanzo mwisho. Hayo hayasemwi kamwe.....Kila mmojawao Yuko busy kushambulia maeneo yenye Waislamu Ili kuficha ya kwao. Mungu mkubwa, Dunia Sasa imekuwa kakijiji tu.

Kuhusu vurugu za 'Waislamu' huko nje siwezi kusema sana sijui nini' kingine kipo nyuma yao maana Kuna mengi tu hapa tunadanganywa. Nilikuwa naamini Wapalestina ni Waislamu watupu Hadi hapa juzi kati niliposhuhudia makala ya BBC. Vivyo hivyo, nilidhani Israel ni Wakristo wote, kumbe kuna Waislamu kabisa wanapigana na Wapalestina. Ndo maana naona busara tuanze na ushahidi wa nyumbani kwanza ambako tunajua Kila kitu.
 
Haipendezi kuchafua Dini ya wenzako,mimi ni Mkristo ila sioni kama ni Sawa ulichofanya.
 
Ila nmecheka Astagafirulaah laana Tulah innlaalilah wa inlaliaah Rahi jun 😂😂 eti winch
Maana hua wanasema aya zilishushwa, ukiwauliza zilishushwa wapi, yaliporomoshwa mafuko ya aya yenye handwriting ya Allah mwenyewe ama zilishushwa na winchi ama ziliteremshwa kwa namna gani? Utashangaa unaambiwa ziliteremshwa kwenye kichwa cha Mohamed, ambae hakua anakua kusoma wala kuandika, kwa hiyo baada ya kuteremshwa kwenye kichwa cha Mohamed, yeye akawa anamtajia mtu mwingine anaandika na Mohamed vile alikua hajui kusoma haakuna uhakika kama alichokua anakitaja ndio kiliandikwa ama ni kingine kwa sababu hakua na uwezo wa kusoma kujiridhisha kama alichokisema ndio kilichoandikwa. Unahitaji kua na akili ndogo sana kuweza kukubaliana na hizo hadithi.
 
Mshukuru Mungu kuwa wameanza mfungo,ungeshushiwa mawe humu huenda ungeifuta hii mada.
 
Kuna yule ustazi alimwambia afande sele atakufa ndani ya siku chache lakini mpaka leo afande anadunda.
Kufa Sio Kimwili Tu Hata Kiroho Watu Hufa Pia.
Hata Jinsi Mambo Yanavyomwendea Kwa Sasa Ni Dhahiri Ni Kwamba Kafa.
 
waislamu ni wanafiq daraja la kwanza wakiwa sambamba na walokole

jamii walipo waislamu wengi ndio kuna majungu, uchonganishi, wivu na husda
wenyewe kwa wenyewe wanapendana kinafiq sana
wanahubiri mema wakati n wadhambi kinoma

mlokole na mwislamu wako daraja moja kwa unafiq, uchawi, husda, wivu na roho mbaya
Kisaikolojia Watu Hujisifu Kwa Tabia Wasizokuwa Nazo.
Kwa Mantiki Hiyo Wewe Ndo Mwenye Hizo Tabia Kwani Unatuaminisha Na Kujisifu Kwamba Wewe Una Tabia Kinyume Na Hizo Na Hao Unaowatuhumu Hawana Hizo Tabia Ila Kutokana Na Wewe Kuwa Na Tabia Hizo Imepelekea Uwaone Waislamu Kwa Mtazamo Huo.
Zaidi Ni Kwamba Chuki Zitawauwa.
 
bora ingeishia hapa mimi sina akili kabisa ila waislamu na unafiq n mapacha (japo sio wote )
Ndio maana nasema wewe ni akili ndogo
Sababu hata hilo neno nikikuuliza maana yake huijui basi tu ni ufupi wa akili na maarifa,kukaririshwa kikasuku
Ptuuu
 
Kisaikolojia Watu Hujisifu Kwa Tabia Wasizokuwa Nazo.
Kwa Mantiki Hiyo Wewe Ndo Mwenye Hizo Tabia Kwani Unatuaminisha Na Kujisifu Kwamba Wewe Una Tabia Kinyume Na Hizo Na Hao Unaowatuhumu Hawana Hizo Tabia Ila Kutokana Na Wewe Kuwa Na Tabia Hizo Imepelekea Uwaone Waislamu Kwa Mtazamo Huo.
Zaidi Ni Kwamba Chuki Zitawauwa.
soma saikolojia unavyo weza ila ukweli utasimama waislamu na walokole ni wanafiq

asa mtu hali kitimoto ila anachapwa nao si unafiq huo

kuna mmoja huwa hataki nimpgie denda et anaogopa naweza kuwa nakula mbuzi katoriki ila k ananipa naigaragaza ntakavyo hatari sana
 
Ndio maana nasema wewe ni akili ndogo
Sababu hata hilo neno nikikuuliza maana yake huijui basi tu ni ufupi wa akili na maarifa,kukaririshwa kikasuku
Ptuuu
mkuu akili ndogo umenipendelea sina akili kabisa neno nalo fahamu na kuamini waislamu ni wanafiq kama alivyo eleza mtoa bandiko
 
Ramadhani ni chuo cha uchamungu, Quran inasema fungeni Ili mpate uchamungu,maana ufunge ukitenda mema na kuacha mabaya,we unataka wafunge wakiendelea kutenda mabaya,kuhusu maendeleo ya miji ya waislam,nikukumbushe tu,dar, zanzibar,tanga ni miji ya waislam na imeendelea kuliko ileje,tukuyu,ubena,sumbawanga,na haijaendelea leo bali siku nyingi

Na huko arabuni kwenye waislam wengi zaidi kumeendelea kuliko kwenu
Ukiniambia mbeya,rukwa,mwanza, shinyanga, Mara hakuna waganga nitakukubalia kuwa waganga wengi waislam,lakini kuna uganga na uchawi,ulilenga kipi hasa ewe mkristu wa sumbawanga!?

Mwisho acha chuki za kijinga,kufunga afunge mwingine njaa usikie wewe, ukitaka na wewe funga
Hivi kwa nini Waislamu huwa hamna akili na wengi wenu ni masikini na wachawi? Au hiyo elimu ahera inawapumbaza akili?
 
Sio kweli Hapa Bongo Wamiliki wa Vituo vya Mafuta Nchi Nzima 96% ni wao.

Wamiliki wa logistics, na vyombo vya usafiri 95% ni wao.

Miskiti majengo ya hadhi na thamani kubwa kuliko Kanisa lolote Tanzania yako Dar.

Hawa jamaa kuna namna Mungu wao anawabariki sana.

Wasanii waliobarikiwa utajiri wote ni wao.

Wachezaji wa mipira waliofanikiwa kwa Simna na Hanga ni wao.

Social influencers wenye mafanikio ya kiuchumi roughly 90% ni wao.

Lastly but not least..........wote ni wao.
Wewe utakuwa mfuasi wa mudi unasubiri mabikra 72. Mudi aliwapiga fuksi mkajaa eti hamtaki elimu dunia bali mnataka elimu ahera wakati mnaishi duniani
 
Afunge mwingine achukie mwingine,inashangaza!!..unajua Quran inasema baadhi ya wakristu Wana chuki dhidi ya waislam..watu kama hawa hutuongezea imani juu ya Quran
Ukiona mtu ana imani na hicho kitabu cha mudi jua hana akili timamu
 
Back
Top Bottom