Tatizo la wanaume kunyimwa unyumba na wenza wao kwa sababu za kuchelewa au kushindwa kutimiza ahadi zao

Tatizo la wanaume kunyimwa unyumba na wenza wao kwa sababu za kuchelewa au kushindwa kutimiza ahadi zao

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Wakuu naomba tupeane mawazo kuhusiana na swala hili linalosumbua sana katika mahusiano.

Kumekuwa na tabia ya wanawake kuwanyima wenza wao unyumba kwa sababu tofauti, lakini kubwa zaidi tutazame sababu hii inayotokana na mwanaume kushindwa kutizimiza ahadi alizompa mwenziwe mfano; kumnunulia simu, nguo au vitu vyovyote kama zawadi.

Pengine mwanaume anakuwa na hali ya chini katika kipato chake ama sababu zozote zile zisizo za makusudi.

Je, kitendo hiki cha wanawake kuwanyima wapenzi wao mapenzi kwasababu ya wenza wao kuchelewa ama kushindwa kutimiza ahadi zao, kwa uelewa wako unakitafsiri kwa namna gani?

Je, wanawake hao wanaowanyima wenza wao mapenzi ni kweli wanamapenzi ya kweli ama wanathamini zawadi/mali kuliko waume zao?

Je, wewe mwanaume ukipatwa na tatizo hili utaendelea kuishi na huyo mwanamke ama utaachana naye?
 
Yaani hapo ndo ntachepuka bila nafsi kunisuta[emoji23]
Mwanamke anitishie kitu chochote ila sio kuninyima mbunye,,kina kitu kinaitwa demand and supply,, demand ni kubwa lakin pia supply ya mbunye na kubwa[emoji3]
 
Sasa hiyo ndiyo maana halisi ya toa pesa upate mbunye

Haijalishi upo Kimboka, kwenye ndoa, au kwenye mahusiano ya kawaida

Kote huko utelezi iko na priceTag
 
Wakuu naomba tupeane mawazo kuhusiana na swala hili linalosumbua sana katika mahusiano.

Kumekuwa na tabia ya wanawake kuwanyima wenza wao unyumba kwa sababu tofauti, lakini kubwa zaidi tutazame sababu hii inayotokana na mwanaume kushindwa kutizimiza ahadi alizompa mwenziwe mfano; kumnunulia simu, nguo au vitu vyovyote kama zawadi.

Pengine mwanaume anakuwa na hali ya chini katika kipato chake ama sababu zozote zile zisizo za makusudi.

Je, kitendo hiki cha wanawake kuwanyima wapenzi wao mapenzi kwasababu ya wenza wao kuchelewa ama kushindwa kutimiza ahadi zao, kwa uelewa wako unakitafsiri kwa namna gani?

Je, wanawake hao wanaowanyima wenza wao mapenzi ni kweli wanamapenzi ya kweli ama wanathamini zawadi/mali kuliko waume zao?

Je, wewe mwanaume ukipatwa na tatizo hili utaendelea kuishi na huyo mwanamke ama utaachana naye?
Pole sana mkuu kwa changamoto unayopitia
 
Ukute anaetaka unyumba hayuko romantic anataka akimwaga yeye basi mchezo uishe woooi😀😀😀😀

Nimesema tu
Wake wengi wanalalamika kuhusu hili lakini ni mambo ambayo yanazungumzika jinsi ya kuridhishana suluhisho sio kummnyima unyumba
 
Ukwel hali ni mbaya,tunateswa,,
mimi sawa sina nguvu, lakini napimiwa kwa wiki mara moja tena anakupa huku kanuna!

Sawa pesa sina kwasasa,lakini je kweli hakuna mambo niliwahi kukufanyia??

Sawa sipo romantic,je wewe unefanya nini kuni-turn on??

mnazungumzia 50/50 lakini likija suala la uwajibikaji mnataka KE20% ME atimize zilobaki.Jirejebishen!!
 
Ukwel hali ni mbaya,tunateswa,,
mimi sawa sina nguvu, lakini napimiwa kwa wiki mara moja tena anakupa huku kanuna!

Sawa pesa sina kwasasa,lakini je kweli hakuna mambo niliwahi kukufanyia??

Sawa sipo romantic,je wewe unefanya nini kuni-turn on??

mnazungumzia 50/50 lakini likija suala la uwajibikaji mnataka KE20% ME atimize zilobaki.Jirejebishen!!
Dah kupimiwa mbususu mara moja kwa wiki ni unyanyasaji kwa kweli. Mke akianza hivyo dawa yake ni kurudisha nyumbani kwao tuu
 
Back
Top Bottom