Tatizo la Wanawake Kupata Maumivu Wakati na Baada ya Kujamiiana: Fahamu Sababu na Suluhisho la Tatizo

Mh, jamani mi pia ilikuwa hivo, tumbo kuuma baada kufanya mapenzi ilishanitokea mara 4 katika vipindi tofauti kama kila baada ya miezi sita hv.

nilishafanya vipimo vya x-ray,damu, ultra sound, mkojo n.k hosp zaidi ya nne ikiwemo M'NYAMALA, KINONDONI, REGENCY Mpaka nilipofanya CT SCAN MUHIMBILI HOSP ndipo wakagundua kuna infection kwenye Kidole tumbo (appendix)

Ila wakasema haijafikia hatua ya operation, so nilipewa dawa. and now am doing fine.

sasa hv mama Mjengo anapata huduma bila wasi wasi.

Labda unaweza kujaribu nawe pia.

Thanks.
 
Habarini wanaJF,

Nilikuwa mbali na mpenzi kwa karibu miezi sita (did'nt hv sex kwa kipindi chote hicho). Sasa amerudi juzi hapa tukakutana and sex. Though alikuwa anapata shida kidogo kuingia but since then huku kwabibi kunauma kama ndo nometoka kutolewa bikra. Is that normal?

nitashukuru kwa kunielimisha.
 
Hahahaaa hilo nalo neno...

Ili daktar akusaidie uweke history hapa ujieleze mamii ...wenye fani zao wapate kukusaidia..

Wenye fani tutamsaidia ila naömba unisaidie kumuuliza huyo bf aliingiza zakari au goti?
 
Niliwahi sikia mwanamke akikaa muda bila kukutana na mumewake hurudia hari kama ya mwanzo kabla ya mahusiano. Kama hakuna kingine itakuwa hivyo, vinginevyo ngoja madaktari waje. Ila ngono nje ya ndoa ni hatari hata kama ni mpenzi wako. Muoane kwanza.
 
Inawezekana pia ikawa ni fungus infection. kapime
 
Jamaa hajui kuku. Hajui kuiweka sawa inakaa upande inasugua vibaya na zaidi mwambie atumie ky jelly maana hajui kukuandaa ukatoa ute.
 
Pole. Tatizo hapo linaweza kuwa labda hukuandaliwa vizuri wakati mlipokutana, au unauwezekano mkubwa sana hiyo ni fungus kamuune taktari kwa uchuguz zaidi.
 
babyAke, hiyo ni kawaida kwa binti kuwa katika hali hasa ukikaa muda kama huo, sasa dawa nzuri ni kuanza taratibu kwa kuandaliwa sio kulazimisha kuingiza dushe tu.
 
Last edited by a moderator:
Jamaa hajui kuku..... Hajui kuiweka sawa inakaa upande inasugua vibaya na zaidi mwambie atumie ky jelly maana hajui kukuandaa ukatoa ute

ky jelly inapunguza maumivu??
maana na mimi mgongo unauma sana kwa some days sasa
nipe kirefu chake kama ni nzuri kwa maumivu lakini maana mgongo wauma
 
Ulipokaa miezi sita bila kukutana na bf mlikumbuka kupima su umemwamini tu? Kama safari ume save kirusi basi nextime mnapitia kwanza kwa mshauri.
 
Ukweli ni kwamba mwanamke asiposex kwa muda mrefu njia yake/ uke hurudi (muscles zake zinasinyaa) na kurudi kukaribia ubikira na hata kama ataandaliwa lakn bado atahisi maumivu wakati ule muwa ukipasua mawimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…