Tatizo la Wanawake Kupata Maumivu Wakati na Baada ya Kujamiiana: Fahamu Sababu na Suluhisho la Tatizo

Tatizo la Wanawake Kupata Maumivu Wakati na Baada ya Kujamiiana: Fahamu Sababu na Suluhisho la Tatizo

Nendeni hospitali, hakuna jibu sahihi kwa hali kama hio zaidi ya kwenda kuchukua vipimo ilo tatizo lijulikane.
 
Kama bikra n kawaida bcz tissue za ndan hazijazoea.
1. Kuwa slow
2. Usiende round nying.
3. Anapokuwa analalamika msikilize.
4. Jaribu kutumia lubricants.
5. Msitumie condoms.
6.piga juu juu.



7. Kama hauna huruma piga mzigo kikatili kama kwa siku nne hv hyo hali itaisha bcz kuna utando umebaki na kingine ni kuwa njia haijawai kutanuliwa .
 
Maumivu wakati wa tendo, na kutokwa na damu sio jambo la kupuuza ni lazima aende hospitali kwa ajili ya uchunguzi, yaweza kuwa ni infection, viuvimbe au hata cancer ya shingo ya kizazi ambayo kwa sasa ni very common. Aende akaonane na daktari bingwa wa magonjwa ya wanake ( OBGYN).
 
Kansa ya kizazi huwa inasababisha MTU kutokwa damu mara tu unapogusa mlango wa kizazi, japo kuna sababu nyingine zinaweza kusababisha ni vizuri mkaenda hosp kwa ajili ya ushauri na vipimo zaidi.
 
Kansa ya kizazi huwa inasababisha MTU kutokwa damu mara tu unapogusa mlango wa kizazi, japo kuna sababu nyingine zinaweza kusababisha ni vizuri mkaenda hosp kwa ajili ya ushauri na vipimo zaidi
Initially inakuwa ni contact bleeding kama hivyo wakati wa sexual intercourse but in advanced stages of the disease bleeding can be continuous.
 
Ndandalo,

Siku ya NNE uyo bado ujambikir kizuri. afu kuna uwezekano umbile lake ni dogo sana ivo unapokua unafanya mapenzi jitahidi umfanye yeye ndo atamani kuingizwa (yaani muandae mpka aseme Ndandalo ingiza) na sio wewe kugandamiza mb mpaka bando linaisha.
 
Ndandalo,

Tatizo la maumivu wakati wa tendo la ndoa au kitaalamu dyspareunia ni tatizo linalosababishwa na sababu nyiiingi saana ambayo kwa ku-categorize ni katika sehemu kuu mbili:

1. Kimauumbile
2. Magonjwa

1. Kimaumbile

Mwili wa mwanamke ni complex kidogo kuliko mwili wa mwanamme...katika tendo la ndoa uume wa mwanaume umefunikwa na ngozi ngumu(stratified keratinized squamous ep.) na inayostahimili msuguano ila kwa mwanamke ana stratified non-keratinized squamous epithelium(sijui namna ya kuiweka kwa kiswahili) ambayo kidogo siyo imara ukilinganisha na uume, hivyo basi mwanamke kuzuia mchubuko wakati wa tendo la ndoa huwa wanatoa kilainishi asilia kutoka kwenye glands (sifahamu kiswahili chake) ambazo zike ukeni....POINT TO BE NOTED. ..Endapo huyu mwanamke atashindwa kutoa vilainishi hivi either kutokana na maandalizi mabovu kabla ya tendo ama embryological development error(tatizo la kuzaliwa nayo) hawezi kumudu msuguano wakati wa tendo la ndoa hvyo ataumia...

Pili...inawezwa sababishwa na Vaginismus(kukakamaa kwa misuli ya uke...cjui niko sahihi kwa kiswahili)...hii inatokana na uoga alionao mwanamke kabla ya tendo especially akijenga dhana ya kuumia kabla ya tendo inapelekea nyama za uke kukakamaa hvyo kuisi maumivu wakati wa tendo

Tatu..brother inawezekana unauume mkubwa kuliko depth ya uke wa mwenzi wako hii inapelekea ww kuigusa cervix(this is dangerous can lead to inflammation of cervix) so try ur best kulitazama hili

Hizo hapo juu ni baadhi ya common natural causes sasa kuna mengine ambayo ni magonjwa yanaweza kusababisha maumivu wakati wa tendo...ntayataja tu kama vipi fike hospital cuz mengi yanatibika...

Pelvic inflammatory disease
endometriosis
polycystic ovarian syndrome
Vulvodynia
ectopic pregnancy (siyo ugonjwa ni complications )
Na mengine

Regards. ..
Haya, madaktari mje basi haswa waliosomea magonjwa ya wanawake pamoja na physiology of pampuchi.
 
Hapo papuchi haijazoea tu, mm shemegi yako nilimtoa bikra mwaka jana na nilishajikung'utia zaidi ya mara 6 lakini bado analia maumivu, but kuna mkunjo mmoja nikimweka anatokwa tu na machoz ya furaha sio tena ya maumivu.

Jaribu kubadilisha style, missionary style inamfanya ajibane na kupata maumivu, tumieni syle za kihuni (kisasa) mkao wa mbwa anayekunya, mkao wa Sato anayetaka kupiga kona kwenye maji au tuwi la nazi lililonyauka, hataskia tena maumivu
 
Wana JF,

Mimi nikimaliza kufanya tendo lililobarikiwa la ndoa, huwa nahisi sana maumivu ya kiuno na mgongo. Tatizo hili ni nini? Dawa ni nini?

Msaada please!
 
Back
Top Bottom