Tatizo la Wanawake Kupata Maumivu Wakati na Baada ya Kujamiiana: Fahamu Sababu na Suluhisho la Tatizo

Tatizo la Wanawake Kupata Maumivu Wakati na Baada ya Kujamiiana: Fahamu Sababu na Suluhisho la Tatizo

Pole sana. Yaelekea katika pilika zako unatumia muda mwingi ukiwa umekaa kwenye kiti na hujihusishi na mazoezi mara kwa mara!
Tendo la kumwaga mbegu za uzazi linachukua nguvu nyingi zaidi ya zile ambazo ungetumia katika ubebaji wa roba moja la mpunga!

Jizoeshe jogging kila iwezekanavyo, kula mlo kamili wa asili ukiambatana na vinywaji visivyo chemicals.
Tibu tatizo lako kwa kujichua na mchanganyiko wa rojo ya asali+tangawizi+mizizi ya ndulele/mafuta ya nyonyo asubuhi na jioni mgongoni hadi kiunoni!
 
Unazipania show sana mkuu. Wacha kuisimamia baiskeli, tumia akili zaidi kuliko nguvu.
 
Wanajf mimi nikimaliza kufanya tendo lililobarikiwa la ndoa,huwa nahisi sana maumivu ya kiuno na mgongo.Tatizo hili ni nini?Dawa ni nini?Msaada please!!!!!
Acha mara moja kufanya tendo la ndoa utakuwa huumwi tena!! Kuna maradhi mengine yanatibiwa kiujanja ujanja tu[emoji23] [emoji23]
 
Kaka kula sana matango walau kwa sku 1 asubui kabla ya kula chochote ndani ya two weeks inakwisha hiyo
 
Swali gumu,mimi ninachoelewa kwenye tendo hilo watu huwa "wanafanyana""
Kuna mtoaji na mpokeaji kuna mfanyaji na mfanywaji... Hivi mwanamke anaweza kwenda kusema kwa rafiki yake kuwa leo nimetmb Peter au John?

Nimetaka kujua mwenye matatizo ni KE au ME ndipo unaweza kushauri
 
Kuna mtoaji na mpokeaji kuna mfanyaji na mfanywaji... Hivi mwanamke anaweza kwenda kusema kwa rafiki yake kuwa leo nimetmb Peter au John?

Nimetaka kujua mwenye matatizo ni KE au ME ndipo unaweza kushauri
Wote wawili
 
Nitumie mfano wa picha kwenye inbox
wala hakuna haja ya inbox,hapa hapa! Unajua wanaume wa leo tulio wengi tuna matatizo ya kisaikolojia,bado tunajishuku kuwa hatuna nguvu za kiume,sasa ukijaribu kuuliza nguvu za kiume ni zipi? wengi tunaamini ni kuwa na dudu kubwa kama mguu wa mtoto,kukojoa mabao mengi na kumsugua mdad hadi kutaka kung'oa K yake bila kuangalia na upande wa pili unahitaji nini,unaweza ukawa na hayo yote ila mpenzi wako halidhiki na matokeo yake ukawa unaumia wewee,maana unaamnin kumridhisha mdada ndio huko kumgegeda mpaka kiuno kiume.We piga kawaida tuu cha msingi na yeye aridhike,unaweza kwenda one shot yeye ameenda 4 shots bado ukawa mshindi tuu,usitumie nguvu sana utaumia na hataridhika,pia kama unawez gegeda usiku wa manane ni dawa ya kiuno,au yawezekana una tatizo la miguu kuuma au constipation ya muda mrefu,katibu tumbo pia
 
Huwezi kunibebesha mzigo sema kama ni mwanaume mara moja mtu ajue sasa nianze kuandika maelezo ya jinsi mbili kama vile una jinsia mbili
Alianza kulalamika ke,baada ya wiki kadhaa na me kafuata!Hospitali tumepimwa wanadai hawaoni kitu.
 
Back
Top Bottom