aka dk gwangadickSababu mojawapo ya mimba kutoka mara kwa mara ni ugonjwa wa zinaa ujulikanao kama syphilis, kwa wanawake syphilis huwa latent, yaani dalili zake hazijitokezi nje. Hii ni secondary stage ya sypilis, tertiary stage watu wanapata ugonjwa uitwao general paralysis of insane..(gpi) ni katika hatua hii mtu anakuwa antisocial na katili. Mfani idd amin na hitler walikuwa na gpi.
Ila Naanza Kuhisi Kuna Kama Vile Kamzaha Unakafanya Hapa! Uandishi Wako Una Vielementi Vya Kufanya Mzaha Na Kupotezeana Muda Tu. Anyway Mwambie Tu Mume Wako ATAFUTE MKE MWINGINE na Wewe AKUBWAGE. Huo Ndiyo Ushauri Wangu Wa Sasa Kwako Dada!
Rady mcheki Dk Ngwaka Mungu anamtumia sana kujua shidazauzazi nawatoto wanakuja 0688 888 888 msikilize redio cloudsnatv. MUNGU AKAKUPEHAJA YA MOYOWAKO AKUNA TASA JUU YA NYUMBA YA ISRAEL,,ISRAEL NI MIMI NA WEWE NAKILA AMWAMINIYE MUNGUa
Hakujui mpwa unaanza na utani anaishia na mapacha chezea jf,,wakati mke borahutoka kwa Mungu watakwambia watoto bora hutoka JFHata Mimi Nakutania Tu Dada Na Nafanya Mzaha Hivyo Nami Nisamehe Dada.
Hakujui mpwa unaanza na utani anaishia na mapacha chezea jf,,wakati mke borahutoka kwa Mungu watakwambia watoto bora hutoka JF
Dada kabla hujaolewa ulishawahi kutoa mimba? km ulishawahi ntakupa ushauri utakaoondoa matatizo yako yote. hamna kinachoshindikana ila sharti ni kuwa mkweli tu.
Umeolewa au ni mimba za nje ya ndoa?
Samahani kijana kwa hili swali langu, lipo direct sana lakini ujuwe nna sababu muhimu sana ya kukuuliza.
​nimeanza kuingia wasiwasi na thrad zako, mana mara majini yamgonga wifi kila siku usiku, mara mimba............tutakaa chonjo
Pole sana ,utapona
Ila Naanza Kuhisi Kuna Kama Vile Kamzaha Unakafanya Hapa! Uandishi Wako Una Vielementi Vya Kufanya Mzaha Na Kupotezeana Muda Tu. Anyway Mwambie Tu Mume Wako ATAFUTE MKE MWINGINE na Wewe AKUBWAGE. Huo Ndiyo Ushauri Wangu Wa Sasa Kwako Dada!
Ila Naanza Kuhisi Kuna Kama Vile Kamzaha Unakafanya Hapa! Uandishi Wako Una Vielementi Vya Kufanya Mzaha Na Kupotezeana Muda Tu. Anyway Mwambie Tu Mume Wako ATAFUTE MKE MWINGINE na Wewe AKUBWAGE. Huo Ndiyo Ushauri Wangu Wa Sasa Kwako Dada!