Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Sababu mojawapo ya mimba kutoka mara kwa mara ni ugonjwa wa zinaa ujulikanao kama syphilis, kwa wanawake syphilis huwa latent, yaani dalili zake hazijitokezi nje. Hii ni secondary stage ya sypilis, Tertiary stage watu wanapata ugonjwa uitwao General Paralysis of Insane..(GPI) Ni katika hatua hii mtu anakuwa antisocial na katili. mfani Idd Amin na Hitler walikuwa na GPI.
 
Sababu mojawapo ya mimba kutoka mara kwa mara ni ugonjwa wa zinaa ujulikanao kama syphilis, kwa wanawake syphilis huwa latent, yaani dalili zake hazijitokezi nje. Hii ni secondary stage ya sypilis, tertiary stage watu wanapata ugonjwa uitwao general paralysis of insane..(gpi) ni katika hatua hii mtu anakuwa antisocial na katili. Mfani idd amin na hitler walikuwa na gpi.
aka dk gwangadick
 
Ila Naanza Kuhisi Kuna Kama Vile Kamzaha Unakafanya Hapa! Uandishi Wako Una Vielementi Vya Kufanya Mzaha Na Kupotezeana Muda Tu. Anyway Mwambie Tu Mume Wako ATAFUTE MKE MWINGINE na Wewe AKUBWAGE. Huo Ndiyo Ushauri Wangu Wa Sasa Kwako Dada!

Mzaha gani huyo dada yupo sirias we Ndio unamfanyia mzaha amini usiamini kama hayajajupata huwezi jua lakini hakuna maumivu makali kama ya kutopata mtoto wakati unamuhitaji
 
Rady mcheki Dk Ngwaka Mungu anamtumia sana kujua shidazauzazi nawatoto wanakuja 0688 888 888 msikilize redio cloudsnatv. MUNGU AKAKUPEHAJA YA MOYOWAKO AKUNA TASA JUU YA NYUMBA YA ISRAEL,,ISRAEL NI MIMI NA WEWE NAKILA AMWAMINIYE MUNGUa
 
Kuwamakini na wanaokwambia niPM this is JF, mumeo atakusahau milele. Wazo la leo
 
Rady mcheki Dk Ngwaka Mungu anamtumia sana kujua shidazauzazi nawatoto wanakuja 0688 888 888 msikilize redio cloudsnatv. MUNGU AKAKUPEHAJA YA MOYOWAKO AKUNA TASA JUU YA NYUMBA YA ISRAEL,,ISRAEL NI MIMI NA WEWE NAKILA AMWAMINIYE MUNGUa

Nakushukuru Ntamtafuta
 
Hata Mimi Nakutania Tu Dada Na Nafanya Mzaha Hivyo Nami Nisamehe Dada.
Hakujui mpwa unaanza na utani anaishia na mapacha chezea jf,,wakati mke borahutoka kwa Mungu watakwambia watoto bora hutoka JF
 
Amkidn rady masis huyu ndie legand pdidy kwamanenoya Mungu yakutiana moyo no PM
 
Hakujui mpwa unaanza na utani anaishia na mapacha chezea jf,,wakati mke borahutoka kwa Mungu watakwambia watoto bora hutoka JF

Halafu Na Wewe Kwanini Huwa Unabadilisha Kila Mara Whatssap Profile Picha Zako? Kweli Wewe Kiboko Hadi Umening'amua Humu! Vipi Na Wewe Umepitia Nini Kile Chuo Chetu Cha Jijini Tel Aviv Yafo Kwa Wayahudi?
 
Dada kabla hujaolewa ulishawahi kutoa mimba? Kama ulishawahi ntakupa ushauri utakaoondoa matatizo yako yote. hamna kinachoshindikana ila sharti ni kuwa mkweli tu.
 
Dada kabla hujaolewa ulishawahi kutoa mimba? km ulishawahi ntakupa ushauri utakaoondoa matatizo yako yote. hamna kinachoshindikana ila sharti ni kuwa mkweli tu.

Sikuwah Kutoa Mimba, Hata Vidonge, Sindano/uzaz Wa Mpango Kwel Sikuwah, Ila Tokea Mwanzo Navunja Ungo Nimekua Na Tatzo La Maumiv Makar Chin Ya Kitov Yanayopush Kwa Chin Yan Utadhan Utumbo Unajisokota Vile, Huo Ndo Ukwel.
 
Umeolewa au ni mimba za nje ya ndoa?

Samahani kijana kwa hili swali langu, lipo direct sana lakini ujuwe nna sababu muhimu sana ya kukuuliza.
 
​nimeanza kuingia wasiwasi na thrad zako, mana mara majini yamgonga wifi kila siku usiku, mara mimba............tutakaa chonjo
 
Pole sana Sissy. Mmmhhh Me nadhani sometimes matatzo yanaweza yakawa kwenye mfuko wa uzazi ama musles za mzunguko wa system..? Kuna madaktari wa tiba ya asili ungefanya uchunguzi juu ya hilo ili walitatue tatzo.
 
​nimeanza kuingia wasiwasi na thrad zako, mana mara majini yamgonga wifi kila siku usiku, mara mimba............tutakaa chonjo

Ni Sawa Na Yote Yananihusu Sio Mbaya Kumuombea Ushaur Wif Yangu. Na Hata Kama Ingekuwa Wewe Ndugu Ukawa Na Kitu Kinakusumbua Ni Bora Kuwa Waz Ili Kupata Msaada, Ukimya Sio Solutio. Sijatengeneza Thrd Kupoteza Mda Wenu Tu. Nahtaj Msaada For Sure Kuhusu Mim
 
Ila Naanza Kuhisi Kuna Kama Vile Kamzaha Unakafanya Hapa! Uandishi Wako Una Vielementi Vya Kufanya Mzaha Na Kupotezeana Muda Tu. Anyway Mwambie Tu Mume Wako ATAFUTE MKE MWINGINE na Wewe AKUBWAGE. Huo Ndiyo Ushauri Wangu Wa Sasa Kwako Dada!

ukapime malaria wewe
 
Aaaaaaaaakhh,watu bwana! Sasa kwa maelezo aliyoyatoa kuna dalili gan za vi element vya uongoo unavyosema?
Ila Naanza Kuhisi Kuna Kama Vile Kamzaha Unakafanya Hapa! Uandishi Wako Una Vielementi Vya Kufanya Mzaha Na Kupotezeana Muda Tu. Anyway Mwambie Tu Mume Wako ATAFUTE MKE MWINGINE na Wewe AKUBWAGE. Huo Ndiyo Ushauri Wangu Wa Sasa Kwako Dada!
 
Back
Top Bottom