Kijana mbona unakuwa muongo sana? Kuna uzi mwingine umesema ww ni Mwanaume umekaa miez saba mkeo hajapata mimba!!Nikiwa na umri wa mika 19 nilitoa mimba hospitali hii ni kwasababu nilikuwa shule, sikuona madhara yake kwa wakati huo.MUNGU si mchoyo baada ya umri wa kuolewa kufika nilipata mume.
Kwasababu nilikua nableed vema sikua na shaka kwamba naweza kutopata mimba tena lakini hii inanitokea sasa, japo naingia kwenye siku zangu lakini mtoto sijapata,matatizo ya kutoshika mimba yanasababishwa na nin?Nataka kuokoa ndoa yangu.
Hapa unasema ww ni mwanamke ulitoa mimba!!
So ww ni jikedume au?