Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Kwanza Pole Sana!

Kisha Kutokana Na Maelezo Yako Ni Wasi wasi wangu tu kuwa Huenda Ukawa ulikumbwa na Tatizo la "Ovarian Cysts" ambalo lina uwezo wa kusababisha Utasa ikiwa halitotibiwa Mapema.

Halafu Nakushauri Uendelee Kufuatilia Tatizo lako Kwa Wataalamu Wa Afya (Doctors) na jipe moyo kuwa utapona tu Akipenda Mungu! kwani ukikata tamaa ndiyo safari ya Kizazi nayo inastop.

Na mwisho labda nikuulize Umeolewa (Yaani unaye mume)??
 
Nishasikia watu wakisema kuwa kama ukiwa umepania sana kupata mimba hupati, au unaweza hata kufungua kuona siku zako kwa kudhani una mimba kumbe sio! pole sana endelea na matibabu ipo siku utafanikiwa.
 
Dada pole sana kwa ilo tatizo ulilonalo but fuata ushauri uliopewa na wadau apo juu unaweza pata ufumbuzi wa tatizo lako.
 
Hilo tatizo limeshakuwa sugu sasa.

Katika maelezo yako umeeleza wewe tu ndiye ulienda kufanya hayo matibabu vipi kuhusu huyo mume wako naye ameshafanyiwa uchunguzi kujua kuwa na yeye mbegu zake zinauwezo wa kurutubisha hilo yai?

Mambo hayo huwa yanatokea na inahitaji uvumilivu tu mimi mwenyewe nina ushuhuda kwa hilo jambo lilimtokea mwanamke wangu mmoja hivi tulidumu kwa muda sana kwanza alikuwa hashiki kabisa ujauzito baadaye ikawa akishika ujauzito akipata pressure kidogo tu inaharibika ila sasa hivi anasubiri kujifungua baada ya kwenda pale Marie stops.

Umri wako na wake hampishani sana though yeye ana miaka 28 sasa hivi.

Nakushauri muombe na mwenza wako nayeye akajicheki kama yupo sawa.
Nimeeleza mkuu mume nae alienda kupima yupo sawa, asante sana mkuu
 
Endelea kuwaona magyno wengine huku ukimuomba Mungu. Umri wako ni.mdogo utapata tu Mtoto.
 
Habari zenu, mi ni mwanamke wa miaka 26, nna miaka mitatu tangu nijiachie ili nipate mimba lakini sijapata nikaenda hospitali nyingi ikiwe regency, nikaambiwa nna uvimbe kwenye mayai na nkapewa dawa lakin hazikunisaidia. Na mume wangu alishapima yupo sawa.

Nikaenda chanika kwa dr kapona akanambia nna layer inayoziba mayai yaliyopevuka kutoka na inabidi nifanyiwe operation, nikakubaliana nae nikafanyiwa operation. Na nkapewa na dawa pia. Na akanambia ntashika mimba ndani ya miezi mitatu.

Lakin sasa ni miezi sita sijapaja mimba, naumia sana sana yani sijui niwaambiaje na nashindwa kuelewa nifanyeje tena. Naombeni msaada wa mawazo.
Pole sana ukishindwa kote ulipo shauriwa kushika mimba nitafute mimi nipate kukutibia upate kushika mimba.Ukinihitaji nipate kukutibia
 
Pole sana muone mkuu Hornet anaweza kukusaidia, nina ushuhuda wa ndugu yangu baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 10 bila mtoto na alipitia vipimo vingi bila mafanikio, nikaona ushuhuda humu JF mtu akisema dawa hizo zimemsaidia nikamtafuta Hornet na akanipatia dawa kwa njia ya basi maana tuko mikoa tofauti ndugu yangu alifanikiwa kubeba ujauzito na sasa ni mama wa mabinti wawili wachanga, dawa yenyewe hakuna mtu alie iamini maana unachanganya na nyama nundu na maini bila kuweka maji halafu unakula basi. Jaribu mkuu Mungu wetu ni mwema sana atakusaidia tu.
 
Duuuuu, pole sana mkuu. Unajua unavyokuwa unataka kupata mtoto unakuwa unahamaki sana km ilivyotokea kwangu. Lkn jaribu kutulia usiwaze sana, ukiwaza sana utavuruga hata cycle yako. Mim mwenyew tumejaribu kwa miezi 3 ilishindikana lkn tulivyojaribu mwez wa 4 Mungu akatujalia ujauzito. So jipe moyo mkuuu
 
Da mimi kuna mdada namjua alikuwa na tatizo hilo kwa mda sana ila mwishoni alitumia dawa za asili akaja kupata watoto, tena nayeye alikuwa anaambiwa hivyohivyo mahospitaly kuwa hana tatizo lolote,hapo dada yangu jaribu saana kutumia dawa za mitishAmba,huenda sikasaidia
 
Pole sana muone mkuu Hornet anaweza kukusaidia, nina ushuhuda wa ndugu yangu baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 10 bila mtoto na alipitia vipimo vingi bila mafanikio, nikaona ushuhuda humu jf mtu akisema dawa hizo zimemsaidia nikamtafuta Hornet na akanipatia dawa kwa njia ya basi maana tuko mikoa tofauti ndugu yangu alifanikiwa kubeba ujauzito na sasa ni mama wa mabinti wawili wachanga, dawa yenyewe hakuna mtu alie iamini maana unachanganya na nyama nundu na maini bila kuweka maji halafu unakula basi. Jaribu mkuu Mungu wetu ni mwema sana atakusaidia tu.
 
Pole sana muone mkuu Hornet anaweza kukusaidia, nina ushuhuda wa ndugu yangu baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 10 bila mtoto na alipitia vipimo vingi bila mafanikio, nikaona ushuhuda humu jf mtu akisema dawa hizo zimemsaidia nikamtafuta Hornet na akanipatia dawa kwa njia ya basi maana tuko mikoa tofauti ndugu yangu alifanikiwa kubeba ujauzito na sasa ni mama wa mabinti wawili wachanga, dawa yenyewe hakuna mtu alie iamini maana unachanganya na nyama nundu na maini bila kuweka maji halafu unakula basi. Jaribu mkuu Mungu wetu ni mwema sana atakusaidia tu.
 
Pole sana muone mkuu Hornet anaweza kukusaidia, nina ushuhuda wa ndugu yangu baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 10 bila mtoto na alipitia vipimo vingi bila mafanikio, nikaona ushuhuda humu jf mtu akisema dawa hizo zimemsaidia nikamtafuta Hornet na akanipatia dawa kwa njia ya basi maana tuko mikoa tofauti ndugu yangu alifanikiwa kubeba ujauzito na sasa ni mama wa mabinti wawili wachanga, dawa yenyewe hakuna mtu alie iamini maana unachanganya na nyama nundu na maini bila kuweka maji halafu unakula basi. Jaribu mkuu Mungu wetu ni mwema sana atakusaidia tu.
 
Mkuu pole sana hayo matatizo yanawakumba wengi, kuna rafiki yangu alikuwa tatizo kama hilo hilo akaenda hospital wakampa dawa ambazo anatakiwa kumeza akianza period at da end akafanikisha. Kuna wataalamu wanasema msongo wa mawazo pia unaweza kuchangia, mie ningekushauri uwaone madaktari specialist coz wale wanajua mambo mengi sana ya uzazi. Pia ushauri na mwenzio usije ukadhani wewe ndio mwenye tatizo kumbe ata yeye ndie kasababisha
 
Pole sana muone mkuu Hornet anaweza kukusaidia, nina ushuhuda wa ndugu yangu baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 10 bila mtoto na alipitia vipimo vingi bila mafanikio, nikaona ushuhuda humu jf mtu akisema dawa hizo zimemsaidia nikamtafuta Hornet na akanipatia dawa kwa njia ya basi maana tuko mikoa tofauti ndugu yangu alifanikiwa kubeba ujauzito na sasa ni mama wa mabinti wawili wachanga, dawa yenyewe hakuna mtu alie iamini maana unachanganya na nyama nundu na maini bila kuweka maji halafu unakula basi. Jaribu mkuu Mungu wetu ni mwema sana atakusaidia tu.
Ngoja nimsaidie kumuita Hornet
 
Back
Top Bottom