Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kila masika na mbu wake, lakini mbu hawa wa kukua sana shughuli za Bandarini, Serikali ijipaange kutatua.
Mizigo na shehena za bidhaa zinazoteremshwa Bandarini zimekuwa nyingi mno.
Miundombinu ya barabara za kutoa mzigo na kupeleka mzigo bandarini limezua tatizo kubwa la barabara kuelekea Bandarini kutopitika kwa kiwango kikubwa.
Barabara ya Mandela tokea Bandarini, hadi maeneo ya machinjio Chang'ombe huwa inakuwa na jam kubwa
Barabara ya Kilwa tokea Mbagala hadi Rangi Tatu napo foleni kubwa ya malori
Barabara za Chaang'ombe karibu zote zina magari mazito yanayofunga njia
Barabara ya Mandela ndio karibia yote hadi Ubungo ni malori matupu.
Kuna haja kubwa kwa serikali kupitia Wizara zake za Uchukuzi na Ujenzi kuliangalia hili tatizo kwa jicho la tofauti.
Reli iliyopo haitumiki kikamilifu kutoa mizigo Bandarini.
Pili kuna haja ya kujenga barabara mahsusi kwa ajili ya Bandari
Ni wazo tu!
Mizigo na shehena za bidhaa zinazoteremshwa Bandarini zimekuwa nyingi mno.
Miundombinu ya barabara za kutoa mzigo na kupeleka mzigo bandarini limezua tatizo kubwa la barabara kuelekea Bandarini kutopitika kwa kiwango kikubwa.
Barabara ya Mandela tokea Bandarini, hadi maeneo ya machinjio Chang'ombe huwa inakuwa na jam kubwa
Barabara ya Kilwa tokea Mbagala hadi Rangi Tatu napo foleni kubwa ya malori
Barabara za Chaang'ombe karibu zote zina magari mazito yanayofunga njia
Barabara ya Mandela ndio karibia yote hadi Ubungo ni malori matupu.
Kuna haja kubwa kwa serikali kupitia Wizara zake za Uchukuzi na Ujenzi kuliangalia hili tatizo kwa jicho la tofauti.
Reli iliyopo haitumiki kikamilifu kutoa mizigo Bandarini.
Pili kuna haja ya kujenga barabara mahsusi kwa ajili ya Bandari
Ni wazo tu!